PakaJimmy JF-Expert Member Apr 29, 2009 16,203 8,725 Jun 17, 2010 #2 Angeenda na baiskeli tu, mbuzi angeibiwa!Angemkokota mbuzi , baiskeli yake ingechukuliwa na mjanja!Bora lawama kuliko fedheha, msafiri kafiri bana!
Angeenda na baiskeli tu, mbuzi angeibiwa!Angemkokota mbuzi , baiskeli yake ingechukuliwa na mjanja!Bora lawama kuliko fedheha, msafiri kafiri bana!
AK-47 JF-Expert Member Nov 12, 2009 1,373 199 Jun 17, 2010 #4 Huyo jamaa katika avatar yako anatafuta nini kwenye Ikulu ya bibi harusi ?
TzPride JF-Expert Member Nov 2, 2006 2,616 1,167 Jun 17, 2010 #5 Duh!!! Hii kali ...nimecheka kufaaaaaaaaaa
Eeka Mangi JF-Expert Member Jul 27, 2008 3,173 481 Jun 17, 2010 #6 ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. Du huyu Masawee nini? Yaani watu wana hasira hapa ofisini mi nabwatuka tu bwa bwa bwaaaaaaaaaaaa na kikohozi tu. Du jamaa mtambo kwelikweli
ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. Du huyu Masawee nini? Yaani watu wana hasira hapa ofisini mi nabwatuka tu bwa bwa bwaaaaaaaaaaaa na kikohozi tu. Du jamaa mtambo kwelikweli
Fisherscom JF-Expert Member Mar 13, 2008 1,763 764 Jun 17, 2010 #7 Safi sana hiyo,angalau imenichangamsha.
Sajenti JF-Expert Member Apr 24, 2008 3,651 412 Jun 18, 2010 #8 AK-47 said: Huyo jamaa katika avatar yako anatafuta nini kwenye Ikulu ya bibi harusi ? Click to expand... ...Huenda uvumilivu umemshinda ameamu kuingia chumvini si unaona hata bibi harusi ametoa ushirikiano kamguu amekasogeza kando!! Tehhh! teeehhh! teeehhhhhhhhh!!!!!!!
AK-47 said: Huyo jamaa katika avatar yako anatafuta nini kwenye Ikulu ya bibi harusi ? Click to expand... ...Huenda uvumilivu umemshinda ameamu kuingia chumvini si unaona hata bibi harusi ametoa ushirikiano kamguu amekasogeza kando!! Tehhh! teeehhh! teeehhhhhhhhh!!!!!!!