Hii kali pia hahahaha

Angeenda na baiskeli tu, mbuzi angeibiwa!Angemkokota mbuzi , baiskeli yake ingechukuliwa na mjanja!Bora lawama kuliko fedheha, msafiri kafiri bana!
 
Huyo jamaa katika avatar yako anatafuta nini kwenye Ikulu ya bibi harusi ?
 
ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. Du huyu Masawee nini? Yaani watu wana hasira hapa ofisini mi nabwatuka tu bwa bwa bwaaaaaaaaaaaa na kikohozi tu. Du jamaa mtambo kwelikweli
 
Huyo jamaa katika avatar yako anatafuta nini kwenye Ikulu ya bibi harusi ?
...Huenda uvumilivu umemshinda ameamu kuingia chumvini si unaona hata bibi harusi ametoa ushirikiano kamguu amekasogeza kando!! Tehhh! teeehhh! teeehhhhhhhhh!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…