Akili ndogo siku zote hujadili watu, jana mkutano wa mkuu maalumu wa chama chakavu ulijaa mipasho yakujadili watu, majina yaliyotawala mkutano huo ni Lowasa, Sumaye na Gwajima. Bila mabavu ya dola chama chakavu jalalani tu.
ulimuona karume jana mkuu kwa nn hakuvaa shati la kijani??......mbona mnamuandama mzee wa watu wakati amehama kwenye chama chenu mnachojifanya kuwa kina democrasia??!!
Hahahaha swali zuri sana,kwanini,mie naona kama kuwa huko hata yeye bado hakujamuingia sana,japo kisha waharibia kick,maana matusi waliyomtukana kuyageuza yawe vinginevyo msala hahahaha
Salu bwana ati chama nini?kuwa.hata na.adabu kwa chama chenye serikali inayokuongoza na wewe,hata kama ni mwanachama wa chochote kile,japo kwa sasa vilivyopo sidhan kama vinanguvu na mipango,hadi utoe maneno kama hayo
Mbona hata akionekana amepotea kisiasa bado anazungumzwa sana?
Hata wengine wanasema kuwa umaarufu wake umepungua ila mhh bado tu anaongelewa?
Ni mwanasiasa gani kwa sasa anayeweza kukaa mbali na Kamera za kisiasa kwa muda mrefu na akarudi, na bado watu wakapata la kuongea/kumzungumzia hata kwa kitu kidogo afanyacho?
Inaonekana hatokuja kutoka midomoni mwa watu mpaka pale umauti utapo mfika! Inaonekana ana nguvu ehh?