MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,255
- 8,027
Jamaa alikua na ndugu yake ndani ya taasisi,
Walihitajika watu 5 kwa kazi, shortlist ilikua na watu 130. Aliitwa na ndugu yake kama kuzuga tu wengine wasigundue siri.
Alipoingia chumba cha interview mswali yake yalikua hivi; Mombo vipi? Nyumbani hawajambo?Umekuja huku lini?Mzee hajambo? mwisho akaambiwa wasalimie home na tutakujulisha siku ya kuanza kazi.
Kwa sasa jamaa yuko kazini,
Uliza wengine maswali waliyokumbana nayo kwenye interview! Utachoka.
Walihitajika watu 5 kwa kazi, shortlist ilikua na watu 130. Aliitwa na ndugu yake kama kuzuga tu wengine wasigundue siri.
Alipoingia chumba cha interview mswali yake yalikua hivi; Mombo vipi? Nyumbani hawajambo?Umekuja huku lini?Mzee hajambo? mwisho akaambiwa wasalimie home na tutakujulisha siku ya kuanza kazi.
Kwa sasa jamaa yuko kazini,
Uliza wengine maswali waliyokumbana nayo kwenye interview! Utachoka.