Vipi kama battery moja ina volts kubwa ya kuendesha hicho kifaa,halafu zipo battery zinaweza kugusa hizo terminals kama inavyoonekana japo haikai vizuri,Haiwezekani!
kinachomata sio idadi ya betri zinazoweza kukaa humo ndani bali ni idadi ya volts zinazoweza kuwasha hiyo device. Battery cells nyingi zina 2.5Volts
Kama hiyo device inahitaji volts zaidi ya 2.5 basi haiwezi kuwaka, pia kama inahitaji volts kuanzia 2.5 au chini yake basi kungekua hakuna maana ya kuweka slots 2 za bettery.
Technically haiwezekani labda logically
pia battery ukiiweka kwa muundo huo haikai, nishawahi jaribu kwenye remote..watu wa Electronics mtanikosoa.
Ok hata hivyo nimekosea, battery nyingi (cells) hua ni 1.5V hata zile za tiger ni 1.5..kwangu sijawahi kuona cells yenye volt kubwa kuliko kiwango hicho.Vipi kama battery moja ina volts kubwa ya kuendesha hicho kifaa,halafu zipo battery zinaweza kugusa hizo terminals kama inavyoonekana japo haikai vizuri,
Nilijaribu kwenye rimoti ya TV battery ilikaa hivyo ila rimoti haikuwaka labda ilikuwa na volts ndogo kama ulivyosema,sijajua kama inhekuwa wa na volts kubwa ingewaka au vipi
Asante KasieMouse yako nzuriiiiii....
Naomba igeuze nione na upande mwingine tafadhaliiii......
Kuna machine za kunyolea ndevu za kichina zinatakiwa uweke betri 2 ndogo lkn hata ukiwa 1 tu inapiga kazi kama kawa.Ok hata hivyo nimekosea, battery nyingi (cells) hua ni 1.5V hata zile za tiger ni 1.5..kwangu sijawahi kuona cells yenye volt kubwa kuliko kiwango hicho.
kama haikai vizuri basi ni improper handling, haitakiwi kuwa hivyo output yake nikuharibu kifaa
Asante Kasie
Unajua wakati napost hili swali sikujua kama hio ni mouse,nilikuwa najiuliza huo mkao wa betri tu,Ila baada ya comment yako ikabidi nikatafute ndio nikajua,hio hapo nimegeuza;
Zelotes F-14, 2.4G gaming mouseView attachment 1548556View attachment 1548557
Aisee,inaonekana unapenda vitu vizuri ww 'handsome and cute' nadhani Amazon unaweza kuipata au online markets zingineYaaaniiii, jaamaaaniiii
I have fall in love with that mouse.....
Naipataje nilitaka tafadhalii....
It look so cute and handsome while clicked...
basi zinakua zina Capacitor zenye uwezi mkubwa kuhifadhi chaji ndio maana betri moja inafanya kazi..right?Kuna machine za kunyolea ndevu za kichina zinatakiwa uweke betri 2 ndogo lkn hata ukiwa 1 tu inapiga kazi kama kawa.
Daah hata sijui mkuu,naonaga tu zinapiga kazi na hio battery 1.basi zinakua zina Capacitor zenye uwezi mkubwa kuhifadhi chaji ndio maana betri moja inafanya kazi..right?
Aisee,inaonekana unapenda vitu vizuri ww 'handsome and cute' nadhani Amazon unaweza kuipata au online markets zingine
aisee unajuaga sana kusifia bila shaka mpenz wako anajiskia fahar sana kuwa na ww,,,Yaaaniiii, jaamaaaniiii
I have fall in love with that mouse.....
Naipataje nilitaka tafadhalii....
It look so cute and handsome while clicked...
Ukishasema cell basi umemaanisha 1.5 volts na ili uwe na battery unapaswa kuwa na cells zaidi ya mojaOk hata hivyo nimekosea, battery nyingi (cells) hua ni 1.5V hata zile za tiger ni 1.5..kwangu sijawahi kuona cells yenye volt kubwa kuliko kiwango hicho.
kama haikai vizuri basi ni improper handling, haitakiwi kuwa hivyo output yake nikuharibu kifaa
aisee unajuaga sana kusifia bila shaka mpenz wako anajiskia fahar sana kuwa na ww,,,