Kibada
Senior Member
- Apr 5, 2012
- 123
- 17
Jamani yamenikuta hiyo juzi! Nilikula nyama ya mbuzi kwenye bar moja hivi mimi na rafiki yangu.. Baada kama ya nusu saa hivi nikaanza kuwashwa mwilini sana... Mpaka leo ndio imepungua... Nikamuuliza rafiki yangu nae kasema aliwashwa kama mimi...! Hii inaweza kuwa imesababishwa na nini?