Naamini kwenye kila kitu kuna cha high quality na low quality. Kuna kitabu kinaitwa Biological science kiko printed kwa ulaya na nchi za Afrika na Asia. Content zipo sawa ila cha ulaya ni robo kwa size ya kile cha Afrika kwa sababu ya quality za karatasi na font. Kwa Taifa ambalo MSD wanaagiza kila kitu nje ya nchi, wazungu wakiamua kutukill hatuna pakutokea.
mbona hizo ni nchi za waafrika weusi tu, sioni waarabu hapo. Magufuli yupo sahihi, hawa wazungu wana mpango maalum kwa weusi. Tuchukue tahadhari. Hii ngozi nyeusi inawatisha weupe.
Binafsi naamini beberu akiamua kutumaliza ni suala la sekunde tu..kwenye hili naamini kuna vigezo wameangalia na sio kwa ubaya ila kama unvyojua hii ngozi nyeusi kwa kujihisi..lakini ni sawa kwani waswahili wanasema wasiwasi ndio akili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.