Yaani, nilikuwa naizungushia lile ganda la sigara la kama aluminium vile halafu naisugua kichwani, hizo picha zote zinatokea kwenye hilo ganda, halafu narudia na upande wa pili, na mwisho naibandika kwenye kiubao kilichokatwa kama shilingi tano... baada ya hapo ni kuwadanganya watoto wenzangu kuwa nina shilingi tano..