Da! siku ukiwa na hii kitu shule walikuwa wanakukomaje aisee, ashikrimu ilikua sh 1, bagia shilingi pia, kwa hiyo ukiwa na dala kama hivi wewe ni Bakhresa kabisa kabisa. Ila zaidi mimi inanikumbusha mwanzo wa madala dala mjini, madala dala yalianza wakati nauli sh 5 na ndio mwanzo wa neno dala dala, maana sh 5 (Kama ilivyo kwenyepicha hapo) ilikuwa inaitwa Dala!