Hii inakufaa zaidi kwa mwaka 2018

Hii inakufaa zaidi kwa mwaka 2018

Kinga kingdom

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2017
Posts
769
Reaction score
847
JIFUNZE KWA MBWA..
Mbwa amaenikumbusha kitu kikubwa sana katika tukio hili..

Gari ndogo nililokuwamo nikienda kwenye pilika za maisha ilikuwa speed kama80/90 hivi....

Ghalfa tukamwona Mbwa akijitahidi kushindana na speed ya gari kuvuka barabara....

Sikutamani kabisa kuona akigongwa..na moyoni nikawa natamani ajitahidi kuongeza mwendo..

Gari likiwa limekaribia kabisa ....

Nikaona mbwa ameongeza mwendo ghafla na kufanikiwa kuvuka....pumzi ikanishuka.

Lakini kuna kitu tulikiona kimedondoka kabla mbwa hajaweza kuongeza mwendo....

Nikamwomba dereva turudi nyuma kidogo..

Nilipoona kitu mbwa alichodondosha...Nikajifunza somo kubwa sana..
MBWA alidondosha

Mfupa wa nyama

FUNZO.....Ilifika mahali mbwa aliona bora aache mfupa apate speed aokoe maisha!!!!!

Hii ni akili kubwa sana

ACHA MFUPA
KUNA MIFUPA TUMEING'ANG'ANIA 2017

TUKIFANIKIWA KUWAJASIRI WA KUACHIA MIFUPA TULOING`ANG`AN

IA ....MWAKA 2018 TUTAKUWA WA KUJISHANGAZA
KUNA MIFUPA YA KILA AINA TUMEING`ANG`NIA 2017

NA HAKIKA IMETUKWAMISHA MNOO

HEBU TUFANYE MAAMUZI MAGUMU..
TUSIVUKE 2017 NA MIFUPA YETU.

TUIDONDOSHE HARAKA SANA

KUTOPENDA KUJIFUNZA MAMBO MAPYA

_KUTUMIA MBINU ZILE ZILE ZINAZOSHINDWA NAO NI MFUPA.._

_KUDHANI KWAMBA HELA PEKE YAKE INAWEZA KUKULETEA FURAHA..HUU MFUPA MGUMU SANA_

_KUTOKUJIFUNZA KUTOKANA NA MAKOSA NI MFUPA_

_KUFURAHIA KUONA WENZETU WANASHINDWA WAKATI TUNGEWEZA WASAIDIA WAKAFANIKIWA NI MFUPA_

HII NI BAADHI TU YA MIFUPA TULIYO BEBA.

TUDONDOSHE MFUPA. ILI 2018 UKAWE MWAKA WA MAFANIKIO KWA KILA MMOJA WETU

MUAMBIE JIRANI YAKO DONDOSHA MFUPA INAKUCHELEWESHA.
 
JIFUNZE KWA MBWA..*

Mbwa amaenikumbusha kitu kikubwa sana katika tukio hili..

Gari ndogo nililokuwamo nikienda kwenye pilika za maisha ilikuwa speed kama80/90 hivi....

Ghalfa tukamwona Mbwa akijitahidi kushindana na speed ya gari kuvuka barabara....

Sikutamani kabisa kuona akigongwa..na moyoni nikawa natamani ajitahidi kuongeza mwendo..

Gari likiwa limekaribia kabisa ....

Nikaona mbwa ameongeza mwendo ghafla na kufanikiwa kuvuka....pumzi ikanishuka.

Lakini kuna kitu tulikiona kimedondoka kabla mbwa hajaweza kuongeza mwendo....

Nikamwomba dereva turudi nyuma kidogo..

Nilipoona kitu mbwa alichodondosha...Nikajifunza somo kubwa sana..
MBWA alidondosha
*Mfupa wa nyama* .....

FUNZO.....Ilifika mahali mbwa aliona bora aache mfupa apate speed aokoe maisha!!!!!

*Hii ni akili kubwa sana*

*_ACHA MFUPA_*
KUNA MIFUPA TUMEING'ANG'ANIA 2017

TUKIFANIKIWA KUWAJASIRI WA KUACHIA MIFUPA TULOING`ANG`AN

IA ....MWAKA 2018 TUTAKUWA WA KUJISHANGAZA
KUNA MIFUPA YA KILA AINA TUMEING`ANG`NIA *2017*

_*NA HAKIKA IMETUKWAMISHA MNOO*_

HEBU TUFANYE MAAMUZI MAGUMU..
TUSIVUKE 2017 NA MIFUPA YETU.

*TUIDONDOSHE HARAKA SANA*

_KUTOPENDA KUJIFUNZA MAMBO MAPYA.._

_KUTUMIA MBINU ZILE ZILE ZINAZOSHINDWA NAO NI MFUPA.._

_KUDHANI KWAMBA HELA PEKE YAKE INAWEZA KUKULETEA FURAHA..HUU MFUPA MGUMU SANA_

_KUTOKUJIFUNZA KUTOKANA NA MAKOSA NI MFUPA_

_KUFURAHIA KUONA WENZETU WANASHINDWA WAKATI TUNGEWEZA WASAIDIA WAKAFANIKIWA NI MFUPA_

HII NI BAADHI TU YA MIFUPA TULIYO BEBA.

*TUDONDOSHE MFUPA....* *ILI 2018 UKAWE MWAKA WA MAFANIKIO KWA KILA MMOJA WETU*

MUAMBIE JIRANI YAKO DONDOSHA MFUPA INAKUCHELEWESHA.
[emoji121]
KUPIGA TONGOZO BILA MAFANIKIO HUU NI MFUPA MGUMU SANA HUU,
TENA NI MFUPA WA NYANGUMI!!!

YAANI HAIWEZEKANI MI' NIMEKAZA NIPO SIRIYAZI NAPIGA TONGOZO
HALAFU MWISHOWE MTOTO MZURI ANASEMA,
"Nimekuelewa vema @Seneta_Wa_Mtwiz, ila miye nakuheshimu kama kaka yangu tu.
I really respect you just like my brother seneta".
-------
SASA WAKUU HUU MFUPA ULIOKOMAA KAMA WA FARU MWENYE BUSHA HUU SIO KABISA HUU!

[emoji377] [emoji124] [emoji469] [emoji377] [emoji124] [emoji469] [emoji377] [emoji124] [emoji469]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom