mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,432
- 2,892
Habari za asubuhi.
Leo nimeamka na hii jamani.
Rafiki yangu ana mke wake. Wao wana mtoto mdogo Kama wa mwaka mmoja hivi. Hapo awali walikuwa wanatumia sindano za uzazi wa mpango,,, lakini kutokana na usalama wa afya ya mama inatakiwa sindano zikishafika 3 ubadilishe njia nyingine ya uzazi.
Sasa jamaa alimzoesha mke wake kwenda nae hospitali kila wanapokwenda kuchoma sindano.
Kwa Sasa jamaa majukumu yamem bana, anashindwa kwenda na MKE wake kubadili uzazi wa mpango.
Sasa Basi
Mke anaogopa (hataki) kwenda mwenyewe, na anamwambia jamaa hapa hupati PENZI (papuchi) mpaka upate muda twende hospitali kuweka kipandikizi.
Maswali kwa wadau
1. Ni sawa mwanamke kumuwekea biti mume wake Kama hivo??
2. Jamaa afanye Nini? Ameniomba ushauri.
Kwakuwa nami kichwa maji nikaona niulete humu kwa wajuzi zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo nimeamka na hii jamani.
Rafiki yangu ana mke wake. Wao wana mtoto mdogo Kama wa mwaka mmoja hivi. Hapo awali walikuwa wanatumia sindano za uzazi wa mpango,,, lakini kutokana na usalama wa afya ya mama inatakiwa sindano zikishafika 3 ubadilishe njia nyingine ya uzazi.
Sasa jamaa alimzoesha mke wake kwenda nae hospitali kila wanapokwenda kuchoma sindano.
Kwa Sasa jamaa majukumu yamem bana, anashindwa kwenda na MKE wake kubadili uzazi wa mpango.
Sasa Basi
Mke anaogopa (hataki) kwenda mwenyewe, na anamwambia jamaa hapa hupati PENZI (papuchi) mpaka upate muda twende hospitali kuweka kipandikizi.
Maswali kwa wadau
1. Ni sawa mwanamke kumuwekea biti mume wake Kama hivo??
2. Jamaa afanye Nini? Ameniomba ushauri.
Kwakuwa nami kichwa maji nikaona niulete humu kwa wajuzi zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app