Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,515
- 6,489
Wazee wetu walikuwa na wake wengi, wake wa siku hizi hawataki kusikia mitala. Hivyo by that time uzazi wa mpango uliwezekana kwa mme.kuwa na wake wengihivi madhara ya hayo madude wanayajua? moja ninalojua mimi yanachangia sana uvimbe tumboni kwa akina mama, hivi kati ya wanawake 10 huwezi kosa wawili watatu wanauvimbe, mbona wazee wetu zamani hawakutumia hivyo vitu na wakazaa kwa mpangilio? binafsi sikubaliani na mpango wa uzazi.
Sent using Jamii Forums mobile app