Hii imewezekana vipi? napata taabu kuamini kilichotokea

Jamaa kakuchora tu huyoo...! Ila Kama kakwambia hadi mahala alipodemu huyo bhasi duuh hiyo ngumu kumezaa...maana sidhani Kama MTU anaweza kukuazima simu ampigie demu wake ambae yupo mbali muda huo labda Kama walikuwa na meeting afu simu yake ikazima chaji hapo sawa... Na Kama aliomba simu ampigie MTU mwingne alianzaje kupekua mpaka kujua Una hiyo namba ya huyo manzi ako?????? kazi ipoo aisee ilaa Walokole sio kabisa mkuuu...
 
A
Salamu sio muhimu sana i hope amani imetawala
mkasa upo hivi-- Niko na girlfriend wangu me naishi dar na yeye yuko mkoani. Huyu manzi sijajuana nae jana bali kitambo sana tumesoma wote primary baadae familia yake ikajaga kuhama na kwenda mkoa wa mbali kidogo. Lakini wakati hayo yote yanatokea hatukuwa wapenzi, tulipotezana kwa takribani muongo na pointi mbili hivi baadae tumekuja kuonana mapenzi yakaja automatically akaniletea shobo nyingi nikamdadia
Ni mwaka wa pili sasa yupo na mimi analeta mapenzi mengi sana na me nimemzoea sana nasema nimemzoea kwasababu me sijui kupenda namzoeaga mtu tu sijui ndo kupenda kwenyewe au la. Ameshalifungaga safari toka mkoani kuja dar kwaajili yangu kama mara mbili hivi. Wasifu mkubwa wa huyu manzi ni mlokole sana mcha mungu mno na ndivyo familia yao ilivyo.
Ishu iko hivi jana wakati natoka kwenye mishe zangu town nikashukia kimara baruti kuonana na mzee fulani hivi maana me nakaa mbezi mwisho. Wakati namsubiri huyo faza nikawa napata soda kwa duka moja mitaani hiyo, kuna jamaa alikua kakaa pale baada ya stori kadhaa akaniomba nimsaidie simu yangu kama ina salio apige nami bila hiyana nikafanya hivo.Nakiri kabisa huyu mwamba simjui hanijui na wala hutujawahi kuonana mahali popote. Haikuchukua mda sana jamaa akaanza kunihoji kwa ukali kwamba namba ya mchumba wake nimeipata wapi? Na nina uhusiano gani na yeye?maana namba niliisevu kimahaba Akadai kuwa ni mchumba wake mda mrefu toka wako chuo na wana mipango ya ndoa. Jina lake kanitajia mkoa alipo kwa sasa aisee ni girl wangu wa mkoa. Nikabaki mdomo wazi sikuwa na kufanya nikarukia daladala kuelekea mbezi mwisho appointment yangu na faza ikaharibika
Wakuu hii imewezekana vipi? Bado jibu sipati nikijihoji
Aliyekwambia Salaam sio muhimu nani.?
 
We Si Umesema Simu Yako Ina Salio Basi Mpgie Huyo Binti Umuulze?,
Au Km Huogop Rudi Pale Kimara Baruti Umtafte Huyo Jamaa Anaweza Akakuxaidia?
 
Jamaa muoga sana, huenda ulitoka balu hata simu ukamuachia huyo jamaa.

Kweli wanaume wa Dar ni shiidaa!

Hakuna demu wa peke yako dunia hii....we chapa na wenzako wanachapa..wanadamu tumeumbwa kushirikiana
Salamu sio muhimu sana i hope amani imetawala
mkasa upo hivi-- Niko na girlfriend wangu me naishi dar na yeye yuko mkoani. Huyu manzi sijajuana nae jana bali kitambo sana tumesoma wote primary baadae familia yake ikajaga kuhama na kwenda mkoa wa mbali kidogo. Lakini wakati hayo yote yanatokea hatukuwa wapenzi, tulipotezana kwa takribani muongo na pointi mbili hivi baadae tumekuja kuonana mapenzi yakaja automatically akaniletea shobo nyingi nikamdadia
Ni mwaka wa pili sasa yupo na mimi analeta mapenzi mengi sana na me nimemzoea sana nasema nimemzoea kwasababu me sijui kupenda namzoeaga mtu tu sijui ndo kupenda kwenyewe au la. Ameshalifungaga safari toka mkoani kuja dar kwaajili yangu kama mara mbili hivi. Wasifu mkubwa wa huyu manzi ni mlokole sana mcha mungu mno na ndivyo familia yao ilivyo.
Ishu iko hivi jana wakati natoka kwenye mishe zangu town nikashukia kimara baruti kuonana na mzee fulani hivi maana me nakaa mbezi mwisho. Wakati namsubiri huyo faza nikawa napata soda kwa duka moja mitaani hiyo, kuna jamaa alikua kakaa pale baada ya stori kadhaa akaniomba nimsaidie simu yangu kama ina salio apige nami bila hiyana nikafanya hivo.Nakiri kabisa huyu mwamba simjui hanijui na wala hutujawahi kuonana mahali popote. Haikuchukua mda sana jamaa akaanza kunihoji kwa ukali kwamba namba ya mchumba wake nimeipata wapi? Na nina uhusiano gani na yeye?maana namba niliisevu kimahaba Akadai kuwa ni mchumba wake mda mrefu toka wako chuo na wana mipango ya ndoa. Jina lake kanitajia mkoa alipo kwa sasa aisee ni girl wangu wa mkoa. Nikabaki mdomo wazi sikuwa na kufanya nikarukia daladala kuelekea mbezi mwisho appointment yangu na faza ikaharibika
Wakuu hii imewezekana vipi? Bado jibu sipati nikijihoji
 
Pole mkuu kikubwa ushajua kinachoendelea we kaa kmya uone kifuatacho ni nn si ajabu pia hampo peke yenu (wawili)
 
Sio uoga faza ni tu sipendi malumbano afu nilkuwa mitaa ya watu
Jamaa muoga sana, huenda ulitoka balu hata simu ukamuachia huyo jamaa.

Kweli wanaume wa Dar ni shiidaa!

Hakuna demu wa peke yako dunia hii....we chapa na wenzako wanachapa..wanadamu tumeumbwa kushirikiana
 
kwako anaprtend ulokole. Kwa mwanachuo mwezake mahaba Kama changudoa vile.
Kweli usilolijua ni Usiku wa giza
Umemaliza. Halaf baadhi ya wanawake wanao act ulokole si wasafi hata kidogo. Yaani wana mambo mengi.. masharti kibao kumbe ni.wale wale.. mm huwa nawapotezea tu.maana hamna namna.
Kijana awe makini na kumuamin sana mtu kiasi hiko.. achukue hatua
 
Akili yangu inaniambia si kweli.
Umechezewa mchezo
Huyo jamaa bilq shaka alienda kucheki namba inayopigwa mara kwa mara au iliyoandikwa jina la kimahaba..
then akaichukua na kumpigia kumuuliza Abcd akijifanya kuungwana pengine kutaka kumsaidia,au ameshinda biko,au ni jamaa kutoka mtandao flani,ili apate detail za dem wako aje akuzingue ww.
Either aku(wa)kuibie au waondoke na ww wakatimize lengo lao.

Km Dem angekua wake kweli jamaa angeuchuna anze kufuatilia nyendo za dem wake mpk ambambe.

Huwezi ukamvaa mtu from no where na kumwambi ni dem wako kaipataje namba.
Je kama ni Babaake mdogo,Au Binamu au Auncle wake.
Wewe utakuwa ujasiri gani kufanya hivyo tena mtaani,anajiamini nn km sio tapel yupo na kampani yake?
Nina uchambuzi wa kutosha ila acha niachie hapa.
 
Back
Top Bottom