Mnamo mida ya chakula cha mchana (lunch time) na nikiwa katika hekaheka na pilikapilika za maisha, nilijikuta karibu kabisa na sehemu ya maegesho ya magari katika maeneo ya Magogoni karibu kabisa na ofisi za shirika la afya la dunia (WHO). Wakati nikijongea ofisi za jirani katika shughuli zangu za kila siku nilikutana na mdada mrembo akiwa mbio mbio kuelekea kwenye gari aina ya 'Mark II 100' ambayo ilikuwa na vioo vya giza nene ukiacha sehemu ndogo za kioo cha nyuma(Huyu dada alikuwa anatokea ndani ya ofisi za WHO).
Niligeuza shingo kushuhudia urembo wa huyo dada na nilimsindikiza kwa macho yangu mpaka alipoingia kiti cha abiria cha hiyo gari tajwa hapo juu. Niliamua kuendelea na hamsini zangu mpaka ndani ya ofisi ya jirani.
Bahati mbaya mwenyeji wangu alikuwa na kikao na nilijaribu kuvuta subira lakini nikaamua baada ya kama dakika kumi hivi, kwamba ni vema nikaendelea na mambo mengine.
Nikiwa narudi niliweza kuliona lile gari tajwa hapo juu likiwa limewaka lakini madirisha yote yamefungwa na huku nikistaajabu niliweza kumwona yule dada aliyeingia ndani ya gari tajwa hapo juu akiwa kama amepandisha 'mashetani' ndani ya hiyo gari manake sehemu ya kioo cha nyuma katika kulikuwa hakuna 'tinted'. Mwanzo nilifikiri labda amepatwa na jambo lakini kadri nilivyokuwa nikisogelea lile gar indo nilivyopata picha halisi. Mrembo Yule kumbe alikuwa katika 'gemu' ya kiutu uzima akitoa chakula cha mchana kwa mdadi wa hali ya juu. Jamaa yeye alikuwa anasikilizia! Kuona hivyo nikaamua kujiondoa eneo hilo kwa haraka sana manake sikutaka kuwakatisha hamu ya 'chakula cha mchana'
Angalizo: Bahari hailindwi, uaminifu katika mapenzi ni muhimu!
Niligeuza shingo kushuhudia urembo wa huyo dada na nilimsindikiza kwa macho yangu mpaka alipoingia kiti cha abiria cha hiyo gari tajwa hapo juu. Niliamua kuendelea na hamsini zangu mpaka ndani ya ofisi ya jirani.
Bahati mbaya mwenyeji wangu alikuwa na kikao na nilijaribu kuvuta subira lakini nikaamua baada ya kama dakika kumi hivi, kwamba ni vema nikaendelea na mambo mengine.
Nikiwa narudi niliweza kuliona lile gari tajwa hapo juu likiwa limewaka lakini madirisha yote yamefungwa na huku nikistaajabu niliweza kumwona yule dada aliyeingia ndani ya gari tajwa hapo juu akiwa kama amepandisha 'mashetani' ndani ya hiyo gari manake sehemu ya kioo cha nyuma katika kulikuwa hakuna 'tinted'. Mwanzo nilifikiri labda amepatwa na jambo lakini kadri nilivyokuwa nikisogelea lile gar indo nilivyopata picha halisi. Mrembo Yule kumbe alikuwa katika 'gemu' ya kiutu uzima akitoa chakula cha mchana kwa mdadi wa hali ya juu. Jamaa yeye alikuwa anasikilizia! Kuona hivyo nikaamua kujiondoa eneo hilo kwa haraka sana manake sikutaka kuwakatisha hamu ya 'chakula cha mchana'
Angalizo: Bahari hailindwi, uaminifu katika mapenzi ni muhimu!