Unakuta unampenda mtu, you have relationship with him/her for about a year.
Then mnatofautiana kwa kitu kidogo tu ambacho ni fixable, lakini inawatenganisha kihisia hadi inafikia hutaki kupokea simu zake, na ukipokea dkk tano unaziona masaa matano.
But unakuta mtu mwenyewe kaomba msamaha zaidi ya mara moja, na still Bado anakutafuta hata kama imepita miezi miwili toka uache kumpigia simu.
How can you handle this situation
Then mnatofautiana kwa kitu kidogo tu ambacho ni fixable, lakini inawatenganisha kihisia hadi inafikia hutaki kupokea simu zake, na ukipokea dkk tano unaziona masaa matano.
But unakuta mtu mwenyewe kaomba msamaha zaidi ya mara moja, na still Bado anakutafuta hata kama imepita miezi miwili toka uache kumpigia simu.
How can you handle this situation