mi kwa kweli nakupa fact we n wa saba..sasa km unataka mzigo chapa tuendelee kama huwezi sepa coz hii kitu ni kama halua haina makombo ati ukiiosha tu ishakuwa mupyaa
[FONT=trebuchet
ms]Dah! Nilikuwa kwenye jam nawaza. Mara ghafla nikakumbuka kitu ambacho
sijawahi kukitilia maanani.
Yani wasichana wote niliowahi kukutana nao (Except wife tu) eti mimi
nilikuwa wa pili kwao. Yaani after yule aliyewaingiza ukubwani.
Seriously? Yaani inawezekana hiyo coincidence? yani wote i was the
second?
Dah hapo nilikuwa napigwa changa la macho tu halafu mbaya hata
sikuwauliza walijisemea tu.
Eti "baby you're my second"[/FONT]
Mi sjisumbui kuuliza. Nachojua nampanua mapaja bas