Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 7,237
- 9,871
Tuseme nina cut-off points za chuo X, na kozi ninayoipenda inatolewa chuo X tu. Sasa kukwepa ushindani wa kuwa admitted kwenye kozi hiyo kupitia TCU nimeamua ku-apply moja kwa moja moja chuoni kwani nina uwezo wa kugharimia masomo yangu bila mkopo...may be nitaaply mkopo nikiwa mwaka wa tatu. Hii inawezekana wakuu?
Asanteni na kila la heri katika masomo yenu!
Asanteni na kila la heri katika masomo yenu!