Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,377
- 58,384
kilichosainiwa na rais kia makubwaHawa waislamu walishangilia sana wakati JK anasaini hiyo sheria ya marekebisho ya katiba,
wakifikiri wanaikomoa CDM. Matokeo ya kushangilia DHAMBI sasa itaanza kuwatafuna wao.
Sheria aliyoisani JK hairuhusu, NGOs, vyama vya kiraia, vyama vya Siasa, vyama vya kidini,
etc kuandaa makongamano ya katiba mpya. Ukifanya hivyo ni kosa la jinai na adhabu yake
imeaanishwa kwenye sheria hiyo, fani 5 mil(?), kifungo mwaka mmoja(?) jela au vyote viwili kwa pamoja.
Hayo ndiyo matokeo ya kushangilia DHAMBI. Ninajua serikali inaweza kuwafumbia macho
hao waislamu kwasababu inafahamu from the word GO ajenda zao ni Mahakama ya kadhi,
Tanzania kujiunga na OIC na Serikali inawapendelea wakiristu, Ubalozi wa Vatican Tanzania etc.
Madai kama hayo kulingana na sheria aliyosaini JK anaweza kuyaweka kapuni bila hata kuyasoma
na asiulizwe ni mtu because he is ALPHA & OMEGA.