Hii imekaaje

Hii imekaaje

Nakei

Member
Joined
Nov 10, 2010
Posts
44
Reaction score
11
Nikijaribu kuwaza naona kama wana jamii ni wengi sana lakini pia hatutofautiani sana kimawazo na kimsimamo. Hivi mnaonaje kama siku moja tuandae mkutano wa wanajamii, lengo la mkutano liwe kufahamiana na ku discuss mambo mbalimbali yanayohusu nchi yetu, huu mkutano unaweza kufanyika mara 1 kwa mwaka. Baadhi yetu tutachanga hela ya ku facilitate huo mkutano. Embu niambieni mnaonaje hili wazo.
 
Ni wazo zuri kufahamiana,ila nadhani kutakuwa na tatizo hasa kwa maadui huu ambao hawajuani zaidi ya ID zao tu na wengine wanatafutana kwa udi na uvumba wajuane ili wamalizane,so kama itatokea basi tegemea siku hiyo kuwa ya vurugu.
Nawasilisha.
 
Nikijaribu kuwaza naona kama wana jamii ni wengi sana lakini pia hatutofautiani sana kimawazo na kimsimamo. Hivi mnaonaje kama siku moja tuandae mkutano wa wanajamii, lengo la mkutano liwe kufahamiana na ku discuss mambo mbalimbali yanayohusu nchi yetu, huu mkutano unaweza kufanyika mara 1 kwa mwaka. Baadhi yetu tutachanga hela ya ku facilitate huo mkutano. Embu niambieni mnaonaje hili wazo.

This sounds like a set up to me!Machale yananicheza....!
 
Ni wazo zuri kufahamiana,ila nadhani kutakuwa na tatizo hasa kwa maadui huu ambao hawajuani zaidi ya ID zao tu na wengine wanatafutana kwa udi na uvumba wajuane ili wamalizane,so kama itatokea basi tegemea siku hiyo kuwa ya vurugu.
Nawasilisha.

Hakuna kuogopana, kama utaugopa huwezi kuleta mabadiliko, ni watu jasiri tu ndio huleta mabadiliko na wakati mwingine sio kwa faida yao. Hapa jamii kuna majukwaa mengi mbali na hili jukwaa la siasa, kuna wengine ni wataalam wa masuala ya ujasiria mali lakini hawana mtaji kuna wengine wana mtaji lakini hawana elimu ya ujasiriamali, jamii forums inaweza kuleta mabadiliko mbalimbali yanayoshikika. Huwezi kuleta mabadiliko kwa kujifungia ndani hata kama unawazo mazuri. Hakuna jambo zuri lisilo na changa moto.
 
This sounds like a set up to me!Machale yananicheza....!
Kama Misri, libya na tunisia machale yangewacheza kama wewe wasingeleta mabadiliko unayoyaona leo, wameitana kwa njia za mitandao kama facebook na twitter. Kwahiyo wanajamii wakikubaliana tuanze kuandamana wewe utakataa kwa ajili ya machale.
 
Nikijaribu kuwaza naona kama wana jamii ni wengi sana lakini pia hatutofautiani sana kimawazo na kimsimamo. Hivi mnaonaje kama siku moja tuandae mkutano wa wanajamii, lengo la mkutano liwe kufahamiana na ku discuss mambo mbalimbali yanayohusu nchi yetu, huu mkutano unaweza kufanyika mara 1 kwa mwaka. Baadhi yetu tutachanga hela ya ku facilitate huo mkutano. Embu niambieni mnaonaje hili wazo.

Ni sawa kiongozi ila inabidi tujipange kupambana na hawa vijana wa ndugu yetu mwema,maake hawakawii kupiga virungu mara maji ya pilipili wakizingizia eti kuna tetesi/sababu za ki-intelejensia.
 
Hakuna kuogopana, kama utaugopa huwezi kuleta mabadiliko, ni watu jasiri tu ndio huleta mabadiliko na wakati mwingine sio kwa faida yao. Hapa jamii kuna majukwaa mengi mbali na hili jukwaa la siasa, kuna wengine ni wataalam wa masuala ya ujasiria mali lakini hawana mtaji kuna wengine wana mtaji lakini hawana elimu ya ujasiriamali, jamii forums inaweza kuleta mabadiliko mbalimbali yanayoshikika. Huwezi kuleta mabadiliko kwa kujifungia ndani hata kama unawazo mazuri. Hakuna jambo zuri lisilo na changa moto.
Kwa kuwa umeamua kuongelea ujasiri anza humu humu JF kwa kuweka jina lako kamili tukujue kuwa u mleta mabadiliko,unaweza kuleta mabadiliko hapa hapa JF bila hata kukutana na mtu au huithamini michango na ideas wanazopata watu humu?Nilichokisema ni kitendo cha watu kukutana huku wakitumia ID bandia na naomba ieleweke kuwa watu wakikutana na kujuana utakuja kuta mume na mke wana ugomvi humu JF bila ya wao kujua na maisha ya kawaida yanakwenda.
 
Ni wazo zuri kufahamiana,ila nadhani kutakuwa na tatizo hasa kwa maadui huu ambao hawajuani zaidi ya ID zao tu na wengine wanatafutana kwa udi na uvumba wajuane ili wamalizane,so kama itatokea basi tegemea siku hiyo kuwa ya vurugu.
Nawasilisha.

Probably upo ryt, with MS-series ndani., zinaweza chapwa kavu kavu..))
 
Huo mkutano utamfaa Bw Msando Albert "Wakili mwadilifu" kama anavyojipanua! Ha ha ha ha tunaokujua tunakisikia aibu mkuu! Crap!n!n
 
Nikijaribu kuwaza naona kama wana jamii ni wengi sana lakini pia hatutofautiani sana kimawazo na kimsimamo. Hivi mnaonaje kama siku moja tuandae mkutano wa wanajamii, lengo la mkutano liwe kufahamiana na ku discuss mambo mbalimbali yanayohusu nchi yetu, huu mkutano unaweza kufanyika mara 1 kwa mwaka. Baadhi yetu tutachanga hela ya ku facilitate huo mkutano. Embu niambieni mnaonaje hili wazo.

Wazo zuri sana? Lakini naomba nikuulize unawajua?
 
Back
Top Bottom