Hii imekaaje wakuu?

Hii imekaaje wakuu?

Kagegedwe kwanza uonje muziki wake huyo njemba unaweza kukata muziki mtamu. Kama amekupenda kwa dhati na yupo tayari kukuoa sioni kama kuna haramu kuolewa nae. Mpe jiko kaka yetu.
 
tatizo langu alishatoka na rafiki yangu kipenzi tena kwa siri kubwa and he confessed this to me.

Sijui kama mimi na wewe tuna upeo sawa...

Lakini kama ningelikuwa ni msichana kama wewe ningelikuwa na wasiwasi wa kwa nini mwanaume anatoka na mwanamke ambaye ni 'mke wa mtu'...

Kama nimekuelewa vizuri ni kwamba kama huyo rafikiyo asingerudiana na mumewe basi huyu kijana anayekuapproach angeyaendeleza mahusiano yake...hapa kuna mushkeli, sina uhakika kama umependwa toka moyoni.
 
katika priorities zake wewe ndo the last one.... fikiria hivi huyo rafiki yako asingemsamehe huyo unayesema mume wake mtarajiwa unafikiri wewe ungekumbukwa ka hata upo ofisin nae na huyo kk....
 
Point of correction,he did not come to me bragging about sleeping with my best friend.He simply told me so that i didn't have to find out from someone else. Na pia hadi tufikie hatua ya ss kujadili mahusiano yake ya hapo nyuma tulishapitia mazungumzo mengi ndo maana akaamua to come clean with his secret relationship. Asingeniambia wala nisingewahi kujua coz they both chose to keep their relationship a secret na sababu alizonipa nilizielewa fika.

And for your information,a man doesn't need to prove himself to a woman ili kuwin her over,if i want you in my life regardless of your background i will take you in coz it's a mutual feeling not otherwise.

Basi mama olewa nae. Hawa wanakuonea tu maana hawajui jinsi ulivyo desperate.

Angalia maandishi mekundu halafu ulinganishe na haya maneno yako

"Kwa mda sasa kulikuwa na minong'ono ofisini kuhusu mahusiano yake ya siri na rafiki yangu wa kike ambaye kwa kipindi chote hicho alikua ametengana na mume wake. Ukweli ni kwamba hakuna mtu ambaye alikua na uhakika kuhusu mahusiano yao ila kulikuwepo na viashiria kwamba mahusiano yao yalikua zaidi ya "just casual friends".

Kila watu wanapojaribu kumtathmini huyu jamaa we unamtetea. Huyu jamaa wakati anatoka na rafiki yako wewe ulikuwa ofisi hiyo hiyo na alikuwa anakuona kila siku, na alikuwa anajua hataweza kumuoa rafiki yako. Iweje leo ndo akufate akwambie we ndo mke mwema na anataka ndoa by mwaka kesho??? This jamaa is very intelligent, very playful. Amekuangaliaaa, akajua unachotaka kuskia - ndoa. Na alijua utahoji kuhusu uhusiano wake na shogako, akaku-pre-empty. We ukamuona shujaa kwamba eti ame-confess! wewe! Linda sana moyo wako kuliko vyote ulindavyo....... Au kama vipi huu ushauri kamuombe rafiki yako.
 
Basi mama olewa nae. Hawa wanakuonea tu maana hawajui jinsi ulivyo desperate.

Angalia maandishi mekundu halafu ulinganishe na haya maneno yako

"Kwa mda sasa kulikuwa na minong'ono ofisini kuhusu mahusiano yake ya siri na rafiki yangu wa kike ambaye kwa kipindi chote hicho alikua ametengana na mume wake. Ukweli ni kwamba hakuna mtu ambaye alikua na uhakika kuhusu mahusiano yao ila kulikuwepo na viashiria kwamba mahusiano yao yalikua zaidi ya "just casual friends".

Kila watu wanapojaribu kumtathmini huyu jamaa we unamtetea. Huyu jamaa wakati anatoka na rafiki yako wewe ulikuwa ofisi hiyo hiyo na alikuwa anakuona kila siku, na alikuwa anajua hataweza kumuoa rafiki yako. Iweje leo ndo akufate akwambie we ndo mke mwema na anataka ndoa by mwaka kesho??? This jamaa is very intelligent, very playful. Amekuangaliaaa, akajua unachotaka kuskia - ndoa. Na alijua utahoji kuhusu uhusiano wake na shogako, akaku-pre-empty. We ukamuona shujaa kwamba eti ame-confess! wewe! Linda sana moyo wako kuliko vyote ulindavyo....... Au kama vipi huu ushauri kamuombe rafiki yako.

Nashukuru sana Nandera,you are totally on point na wala sipingani na ushauri wako. Hata mm hayo maswali yote unayouliza nilishajiuliza mwenye na kujihoji na nafsi yangu and i knew exactly what i wanted. I considered talking to my friend about this guy ila mwisho nikaona huku nikutafuta shari kusikokua na sababu ya msingi.

Sio kama namtetea jamaa,i have absolutely no reasons to defend him and i am not desperate to be in a relationship with him or any other man for that matter. Ila hili suala nililileta jamvini ili pia nipate ushauri wa ziada na kuwasaidia wasichana/wanawake wenzangu ambao wanaweza kuwa kwenye tuta kama langu na hawajui wafanyaje. This is a public forum and from it we have all learnt a lot of things through the posts and comments here.

Asante kwa ushauri wako mzuri. Bless you.
 
Na yule wa kwenye pm ( stranger) vipi ashakuoaaa
 
Kwavle ilikuwa siri yao na rafki yako hakiwah kukuambia kwmba wanamahusiano na hyo mpenzio mtarajiwa thn usiwaze kuhusu rafk yako anayeolewa kama unampnda mshikaj ondoa shaka na anza mahusiano mambo ya ndoa ni ya baadae. Upendo kwanza
 
Huwez jua labda Yule shoga yako Bado anampenda, kamuacha sbb ya huyu mme wake tu. Kuna uwezekano mkubwa sana wa kuharibu mahusiano yako na rafiki yako endapo atagundua una uhusiano na ex wake.
 
Wanawake bwana ni kazi sana,hapo kila kitu kiko wazi sana tu kwamba jamaa atatembea tena na mfanyakazi mwenzio itabaki kuwa ni siri yake,jamaa atakuumiza.Hahahaha ila wanaume tuna confidence asikuambie mtu bwana.Jamaa anakuambia live kwamba nimempitia rafiki yako kwa siri tena nke ya mtu then anakuambia umukubali hahaha jamaa ni jasiri sana.Mimi Bornagain nisingeweza kuwa mjasiri kama huyo jamaa.Atakuwa morani huyo
 
maneno yako yanaashiria unampenda huyo kaka... ila rafiki yako anakufanya uogope... sasa acha uwoga na usikilize moyo wako katika hili.... mshirikishe mungu pia..piga hatua....
 
Back
Top Bottom