mapanga3
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 665
- 635
Pole madada na hongera kwa kuomba msaada. Zingatia yafuatayo ktk maamuz ya kumkubali au kumkataa huyo kijana.
1. Uhawala tena unaofanyka kwa siri ni ngumu kufa.
2. Ndoa si kitu cha kujaribu, i mean you better be sure about the man.
3. Kuwa makin ktk kuusikiliza moyo wako, ile saut ya chini au ya polepole ya moyo wako ndyo sahh.
4. Dhamira ya huyo kaka kufanya uhawala wa siri na rafkyo ni picha tosha ya ndoa utakayokuwa nayo endapo utakubali, lastly i wish you all the best in your desicion. Nobody can speak for your hear, let it speak by itself.
1. Uhawala tena unaofanyka kwa siri ni ngumu kufa.
2. Ndoa si kitu cha kujaribu, i mean you better be sure about the man.
3. Kuwa makin ktk kuusikiliza moyo wako, ile saut ya chini au ya polepole ya moyo wako ndyo sahh.
4. Dhamira ya huyo kaka kufanya uhawala wa siri na rafkyo ni picha tosha ya ndoa utakayokuwa nayo endapo utakubali, lastly i wish you all the best in your desicion. Nobody can speak for your hear, let it speak by itself.