selemangrace346
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 468
- 639
Vile vidude vinauma na kupuliza.Unamifugo humo ndani inaitwa panya
Bado yeye tu ajiandae nchi ipo uchumi wa kati na hayo ndo matokeo..😂Vile vidude vinauma na kupuliza.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahaaaa....anataka tuwaze kama yeye kuwa ni ushirikina wakati ni MFUGAJI.
Mwandishi kauliza tuu! ushirikina umeutaja wewe....!!!Hahaaaa....anataka tuwaze kama yeye kuwa ni ushirikina wakati ni MFUGAJI.
Unafikiri lengo LA kuuliza ni ili ujadili au utoe assumption?
Ilikuwa ni leo takribani Mida ya Saa nane mchana,Binti yangu mpendwa( 2yrs) alikuwa amelala peke yake chumbani...baada kama ya saa moja Baadae nasikia akilia kwa sauti ya juu sana, kwenda kumchek nkakuta damu Damu inamtoka kwenye kidole ni kama amekatwa na kitu chenye Ncha kali but kitandani pale nmejaribu kuchek mara mbilimbili hakuna kitu kama hiko hadi sasa bado nachek kiukweli sijaona kitu...Hii inaweza kuwa imekaaje wadau?
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Probably = labda, labda = hakuna uhakikaUnafikiri lengo LA kuuliza ni ili ujadili au utoe assumption?
Probably yeye kawaza ushirikina.