Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 13,346
- 21,244
Hapo kwenye lugha ya kiswahili kutumika sijaelewa naomba kufahamishwa? Ina maana Yale masomo tuliyokuwa tunasoma sekondari Kwa lugha ya kingereza sasa yatafundishwa Kwa kiswahili mpa advance ama?