Eeh
Nimemuelewa anasema hataki uhusiano nikimuuliza anatakaje hasemi nikimwambia anataka tuachane anasema ananipenda Tu
Njia panda
Mimi nataka nimpige chini kabla sijapigwa chini
Yeye anaishi Dar na Mimi ninaishi Dar na mwanza
Haipiti siku kumi siko Dar ama mwanza
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Niko tayari Kwa kila KituPole mkuu jaribu kuchunguza tatizo ni nini ila kama hakuna tatzo jiandae kisaikolojia
Niko tayari Kwa kila Kitu
Tukio la Kwanza lilinifunza
Saiv nikuwekeza akili kwenye mambo yangu
Sitokua na uhusiano Kwa sasa nikijiskia kua na dem ntatafuta
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
HakikaNilidhani bado ujajifunza kwa past experience yako, pambana na maisha weka mambo sawa hasa kiuchumi zaidi haya mengine yapo tu yatajiseti