Hii ikoje? Siielewi

Hii ikoje? Siielewi

Hapo kuna mambo 5 master.

Huenda

1- kashapata mtu mwingne anaemvutia na kumuona wa tofauti zaidi yako. But anashindwa namna sahihi yakukuacha mana nafsi inamsuta. Na huenda kweli anakupenda ila huyo jamaa kuna kitu anampa/anamfanyia kinampagawisha.

2: Anakupima kiwango cha upendo ulichonacho juu yake. Wanawake sometimes hupenda vile tunavyowabebembeleza na kuhangaika juu yao.

3: Kuna kitu/vitu ulimuahidi but siku zinaenda haoni ukitekeleza so anaanza kuwa na wasiwasi na wewe japo anakupenda.

4: Kuna imani flani imemuingia anahisi mnachofanya mnakosea ila ndo ashakupenda. Anatamani ndoa.

5: Kuna skendo zako kaziskia anaumia japo hajawahi kukwambia
 
Nimekutana na binti mmoja muda wa mwaka sasa tuna uhusiano Bomba lakini mwezi wa 6 tar 23 alisema hafurahii uhusiano wetu na wala hatujagombana ingawa siku chache nyuma alianza kuonesha tofauti nyingi

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Kama umeshindwa kujiongeza hata kwenye hili nna mashaka kama wewe ni mwanaume labda bado ni mvulana
 
Hiyo hali ni kawaida! Unaweza ukawa na mtu hamjawai hata kugombana lakini inafika point ile touch ya mwanzo inaondoka kabisa na sio lazima awe na mtu wa pembeni (mchepuko)!
 
Sisi wenyewe hatuelewi, iko hivyohivyo mkuu😆😆
Kama unajua unataka kuachwa, achika mkuu. Mbona alivyokubali ulienjoy, na kuachwa enjoy tu mkuu
 
Hapo kuna mambo 5 master.

Huenda

1- kashapata mtu mwingne anaemvutia na kumuona wa tofauti zaidi yako. But anashindwa namna sahihi yakukuacha mana nafsi inamsuta. Na huenda kweli anakupenda ila huyo jamaa kuna kitu anampa/anamfanyia kinampagawisha.

2: Anakupima kiwango cha upendo ulichonacho juu yake. Wanawake sometimes hupenda vile tunavyowabebembeleza na kuhangaika juu yao.

3: Kuna kitu/vitu ulimuahidi but siku zinaenda haoni ukitekeleza so anaanza kuwa na wasiwasi na wewe japo anakupenda.

4: Kuna imani flani imemuingia anahisi mnachofanya mnakosea ila ndo ashakupenda. Anatamani ndoa.

5: Kuna skendo zako kaziskia anaumia japo hajawahi kukwambia
Labda namba 4
 
Back
Top Bottom