Cheef Baroka
JF-Expert Member
- Apr 28, 2019
- 490
- 1,019
Hapo kuna mambo 5 master.
Huenda
1- kashapata mtu mwingne anaemvutia na kumuona wa tofauti zaidi yako. But anashindwa namna sahihi yakukuacha mana nafsi inamsuta. Na huenda kweli anakupenda ila huyo jamaa kuna kitu anampa/anamfanyia kinampagawisha.
2: Anakupima kiwango cha upendo ulichonacho juu yake. Wanawake sometimes hupenda vile tunavyowabebembeleza na kuhangaika juu yao.
3: Kuna kitu/vitu ulimuahidi but siku zinaenda haoni ukitekeleza so anaanza kuwa na wasiwasi na wewe japo anakupenda.
4: Kuna imani flani imemuingia anahisi mnachofanya mnakosea ila ndo ashakupenda. Anatamani ndoa.
5: Kuna skendo zako kaziskia anaumia japo hajawahi kukwambia
Huenda
1- kashapata mtu mwingne anaemvutia na kumuona wa tofauti zaidi yako. But anashindwa namna sahihi yakukuacha mana nafsi inamsuta. Na huenda kweli anakupenda ila huyo jamaa kuna kitu anampa/anamfanyia kinampagawisha.
2: Anakupima kiwango cha upendo ulichonacho juu yake. Wanawake sometimes hupenda vile tunavyowabebembeleza na kuhangaika juu yao.
3: Kuna kitu/vitu ulimuahidi but siku zinaenda haoni ukitekeleza so anaanza kuwa na wasiwasi na wewe japo anakupenda.
4: Kuna imani flani imemuingia anahisi mnachofanya mnakosea ila ndo ashakupenda. Anatamani ndoa.
5: Kuna skendo zako kaziskia anaumia japo hajawahi kukwambia

