Mh! Hivi carry bado ipogo?Ni hv wandugu wanafunzi walifanya UE mwezi 9 kwenda mwaka 3 lakini kama wanafunzi 180 walipata suprimementary katika somo la IT wakafanya tena mtihan wa hlo somo ili wasapue but wanafunzi wote wakafeli tena kwa kupata f.Wakarud nyumban sabab ilikua ni likizo lakini baada ya hayo matokeo ambalo somo hilo anafundisha mwalimu Daudi,idara ya logistic ikahoji iweje wanafunzi wote wafeli tena kwa kupata f?.Uongozi ukabadilisha mwalimu wa somo na mwalimu Daudi akaondolewa.Mwalimu aliteuliwa akatangaza wanafunzi warudi chuoni atawafundisha kwa siku 10 na atawapa mtihan mwingine.So wanafunzi wakarudi chuon toka likizo wengine waliwahi kurudi na wengine walichelewa,siku ya mtihan ikafika na wanafunzi wakafka kwenye chumba cha mtihan mara wakaambiwa waliochelewa kufika hawatafanya mtihan kwa hyo watoke nje na wakafanya hivyo.lakini badae wakataka kujua hatma yao mana hawakuchelewa kwa makusudi Kwan ilikua ni likizo na walikua nyumban.Sasa cha ajabu wameambiwa wanarudia mwaka wa pili kwa kufeli somo moja tu tena watasoma semester ya pili.Kawaida vyuo vyote ukifeli somo moja unaenda mwaka 2 au 3 lakini unabeba/soma lile somo ulilofeli mwaka uliopita.Wizara ya Elimu hebu kitazameni hiki chuo cha jicho LA tatu mana kuna Madudu mengi saana pale NIT wakufunzi ni kama miungu watu. Na hawa wanafunzi 180 wanarudia mwaka kwa kufeli somo moja tu tunaomba wizara husika mkitazame iki chuo
Mwalimu Daudi amelalamikiwa sana.Ana shida gani?
Umeongea point ila mifano ya vyuo vyao ni takataka hizo.vyuo vyote vya mapopoma hivyo mkuuwanafunzi wasikuizi bhana dah mnapenda kulialia mbn NIT chuo chepesi sana kile ungesona DIT, ARU,Muhimbili je au Mzumbe ww si ndo mngedata nyie.....visabu vya it vinawatoa jasho wakati mnatumia simu lap too ila it amuijui dah.
pili.Kawaida vyuo vyote ukifeli somo moja unaenda mwaka 2 au 3 lakini unabeba/soma lile somo ulilofeli mwaka uliopita
wanafunzi wasikuizi bhana dah mnapenda kulialia mbn NIT chuo chepesi sana kile ungesona DIT, ARU,Muhimbili je au Mzumbe ww si ndo mngedata nyie.....visabu vya it vinawatoa jasho wakati mnatumia simu lap too ila it amuijui dah.
Degree mwisho Ku carry ni third year, hutakiwi kuingia na carry mwaka wa nneDegree mkuu
Wanafunzi 400 mkuu
Hilo somo (darasa) lilikuwa na wanafunzi wangapi? Amini usiamini hapa kuna maajabu, labda mtu aniambie kuwa hao wanafunzi hawakustahili kua hapo. Hata mtihani ukiwa mgumu kiasi gani kama vigezo vimezingatiwa kati ya 180 waliojitayarisha kufanya mtihani lazima kuna ambao watapita. Hii nafikiri ndiyo imemuondoa mwalimu Daudi.
Kwenye issue kama hii mwalimu huwa hajiamulii tu, itakuwa imepitishwa na chuo. Kitu ambacho hukuwa wazi ni je waliambiwa watafanya mtihani wakati likizo inaendelea au ni baada ya chuo kufunguliwa? Sasa hao walio chelewa wamechelewa kwa lipi haswa? Vijana wa siku hizi mnamitandao yenu, najiuliza kama mnaitwa mpewe supplimentary kuna ambaye atakuwa hakupata hizo taarifa kweli au ni yale mambo yetu yaku puuzia puuzia mambo?
Soma sheria za chuo chako. Unatakiwa upate jibu kutoka kwenye examination regulation za chuo, kila chuo kina sheria zake, mjiridhishe kwamba sheria zimezingatiwa. Hayo unayosema mahali kama SUA ni kawaida tu. Hiyo inaitwa kuritake (siyo carry forward).
Baada ya mwalimu kubadilishwa mwalimu husika akatoa tangazo wanafunzi warudi chuoni but walikua tayar washarud makwao
Hilo somo (darasa) lilikuwa na wanafunzi wangapi? Amini usiamini hapa kuna maajabu, labda mtu aniambie kuwa hao wanafunzi hawakustahili kua hapo. Hata mtihani ukiwa mgumu kiasi gani kama vigezo vimezingatiwa kati ya 180 waliojitayarisha kufanya mtihani lazima kuna ambao watapita. Hii nafikiri ndiyo imemuondoa mwalimu Daudi.
Kwenye issue kama hii mwalimu huwa hajiamulii tu, itakuwa imepitishwa na chuo. Kitu ambacho hukuwa wazi ni je waliambiwa watafanya mtihani wakati likizo inaendelea au ni baada ya chuo kufunguliwa? Sasa hao walio chelewa wamechelewa kwa lipi haswa? Vijana wa siku hizi mnamitandao yenu, najiuliza kama mnaitwa mpewe supplimentary kuna ambaye atakuwa hakupata hizo taarifa kweli au ni yale mambo yetu yaku puuzia puuzia mambo?
Soma sheria za chuo chako. Unatakiwa upate jibu kutoka kwenye examination regulation za chuo, kila chuo kina sheria zake, mjiridhishe kwamba sheria zimezingatiwa. Hayo unayosema mahali kama SUA ni kawaida tu. Hiyo inaitwa kuritake (siyo carry forward).
vilazawanafunzi wasikuizi bhana dah mnapenda kulialia mbn NIT chuo chepesi sana kile ungesona DIT, ARU,Muhimbili je au Mzumbe ww si ndo mngedata nyie.....visabu vya it vinawatoa jasho wakati mnatumia simu lap too ila it amuijui dah.
Sio core subject ni electivehapa labda nikueleweshe ndugu yangu... bachelor degree mwaka wa kwanza na wapili huwa ni NTA LEVEL 7 ndio maana unaruhusiwa kucary masomo yote hata core subjects sababu ni ndani ya level moja
sasa ukija mwaka wa 3 huwa ni NTA LEVEL 8 sasa hapa hutakiwi kuingia na vimeo vya kutoka LEVEL nyingine unless kiwe kimeo cha ELECTIVE SUBJECT kikiwa CORE SUBJECT kutoka NTA LEVEL 7 mwaka wa1-2 huruhusiwi kuingia nacho NTA LEVEL 8 mwaka wa 3
sasa basi kama hilo somo la IT lilikuwa ni CORE SUBJECT na mmeshindwa kusapua basi hakuna sheria yoyote inayokuruhusu kucary kuingia nalo mwaka wa 3 kwa vyuo vyote vya serikali hapo utapata kitu kinaitwa REPEATE MODULE yaani unarudia mwaka wa pili ukisoma somo/ masomo uliyofeli
sasa embu nijibu hyo module ya IT ni core au ni elective... kama ni elective basi hamjatendewa haki ila kama ni core inabidi tu mrudie mwaka 2
Ndiyooo mkuu tofauti na vyenu mkuu vya Afya.Mh! Hivi carry bado ipogo?
kama ni hivyo basi hamjatendewa haki....mna kila sababu yakulalamikaSio core subject ni elective