tamimusalim
JF-Expert Member
- Jun 17, 2014
- 1,822
- 499
Binadamu hua anaendelea kuishi spiritually baada ya kifo,sasa ukimsema marehemu inaweza ile roho ikakuzuru bila wewe kujua
Hiyo imani potofu kabisa.
Bado yusufu makamba
Kwani mimi na wewe tutabaki?
baada ya kufa hukumu, wafu hawana sehemu yao ulimwenguni
ni vizuri km unaamini hivyo
Aiseee!!!Sikulazimishi kuamini,ila nikuambie mimi hua na waonata watu walikokufa mara kwa mara na hua wakijua nawaona hua wanakimbia ama kupotea ghafla...ila kuongea nao hua siwez kwan mda wote hua wamefunga vinywa vyao na hua wanaonekana na uzuni
Pia wanatembea kuelekea upepo unapoelekea...