Hii harusi kama tuko bar au Grosary

Hii harusi kama tuko bar au Grosary

Jumong S

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
7,427
Reaction score
10,749
Kuna harusi hapa nahudhuria ya dhehebu fulani, yaan full mipombe na miziki ya kusifu uibirisi tuuu. Nashindwa kuitofautisha na kukaa bar, maana baadhi ya wahudhuriaji wamevaa hovyoo, nyimbo ni zile za mabar n.k. Hapa nikalale zangu tu home, hakuna baraka hapa.

Ndugu zangu, ndoa ni tendo takatifu. Kushadadia pombe na miziki ya kidunia ni kuchafua baraka mlizopata kanisani. Sishauri pombe na malimwengu ktk sherehe za ndoa.

Wasalaam
 
harusi yangu itavunja record ya harusi zote...
suprise itakua ni menu ya ugali kwa matembele,
 
Yaani nimecheka mdau na issue yake hii. Anyway, kuna harusi nyingine utukufu wa Mungu haupo kabisa. Pombe kama imani inawaruhusu acha wanywe. Mimi huwa sinywi pombe lakini ninachanga kwa harusi za wanywaji na wasio wanywaji. Dunia hii ni lazima ujaribu kujichanganya. Wewe si kisiwa vinginevyo utafute dunia yako peke yako. Na haipo.
 
We kama hunywi kausha au ulilazimishwa kushangàa??
 
We ni kichaa kweli si ungesema huko huko kwenye harusi uone unavyotolewa kamasi
 
Na wasiwasi na kilaji unachotumia....
 
harusi yangu itavunja record ya harusi zote...
suprise itakua ni menu ya ugali kwa matembele,

hahahahahahaha mkuu labda usichangishe michango ila ukichangisha watu watadai chenji zao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom