ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,556
Taarifa ya habari juzi kamanda wa polisi amethibitisha kukamatwa vijana 12 ikiwa ni sehemu ya panya road 30 waliofanya uhalifu huko Chanika
Kwa bahati nzuri hawa wahalifu wamekiri kuhusika na uhalifu wote
Tukiendelea na mfumo tulionao wa kuanza kupelekana mahakamani miezi nenda rudi mara dhamana haya kaenda karudi matukio ya uhalifu hayatokuja kuisha nchini!
Juzi tumepoteza askari wetu watiifu huko Mwanza kwa ajali wakiwa wanasafirisha wahalifu sugu tena hatari,wapumzike kwa amani askari wale.
Nini kifanyike ukishawapata wahalifu kama hawa
Wanapelekwa sehemu ya wazi ya umma mfano Pale Mwembe yanga wanapandishwa juu ya kama stage waandishi wa habari na wananchi wakishuhudia wanamiminiwa risasi za moto,then wanashushwa na kwenda kuzikwa na jiji, hiyo ni kimya kimya hakuna kuongea ikitokea sehemu nyingine hivyo hivyo kamata watano watataja wenzao zoezi lilelile.
Hapo matukio ya uhalifu hasa haya ya mob itakuwa story lakini kama wanaona maisha ni kawaida tu nikiwekwa ndani siku ikifika nitatoka aisee hawakomi hawa!
Kwa tulioishi nchi za gulf arabuni tutakuwa mashahidi, kule hakuna kusikia mwizi huyo..
Mwizi huyo..
Kuna nchi nimeishi huko unaweza enda likizo ukaacha nyumba yako wazi na ukirudi baada ya mwezi au zaidi utakuta vumbi tu ndani au labda paka aingie lakini kila kitu utakuta salama.
Sasa nenda wewe kaibe au ufanye mauaji kule
Hapa kwetu hususan mwaka huu kila siku news unasikia mtu kaua kakamatwa tena na ushahidi kabisa!lakini basi husikii kingine zaidi ya kusikia anapelekwa mahakamani! Hawa wauaji kwa wenzetu huko hawavuki siku 7 anakua keshapotezwa nae hii inasaidia kwa wengine kuogopa kutenda jambo la kuua
Mfano nilisikia mwezi jana kuna mtu huko shinyanga kaua mke wake kwa kumkatakata mapanga na kutenganisha viungo!
Ikasemekana huyu muuaji pia miaka ya nyuma alisha muua mama yake mzazi lakini akahukumiwa kwa kuua bila kukusudia!akafungwa miaka minne sijui. Sasa alivyomaliza kifungo amekaa na familia yake na mwisho wa siku kaua mke! Imagine mtu yule yule!
Hivyo hawa panya road na wauaji ni wa kuwa miminia bullets tu itakua mwisho wao.
Oneni Korea huko kuna waziri wa ulinzi yeye alisinzia tu wakati Rais akihutubia kikaoni, lyule alipigwa kombora akafariki!
Kwa bahati nzuri hawa wahalifu wamekiri kuhusika na uhalifu wote
Tukiendelea na mfumo tulionao wa kuanza kupelekana mahakamani miezi nenda rudi mara dhamana haya kaenda karudi matukio ya uhalifu hayatokuja kuisha nchini!
Juzi tumepoteza askari wetu watiifu huko Mwanza kwa ajali wakiwa wanasafirisha wahalifu sugu tena hatari,wapumzike kwa amani askari wale.
Nini kifanyike ukishawapata wahalifu kama hawa
Wanapelekwa sehemu ya wazi ya umma mfano Pale Mwembe yanga wanapandishwa juu ya kama stage waandishi wa habari na wananchi wakishuhudia wanamiminiwa risasi za moto,then wanashushwa na kwenda kuzikwa na jiji, hiyo ni kimya kimya hakuna kuongea ikitokea sehemu nyingine hivyo hivyo kamata watano watataja wenzao zoezi lilelile.
Hapo matukio ya uhalifu hasa haya ya mob itakuwa story lakini kama wanaona maisha ni kawaida tu nikiwekwa ndani siku ikifika nitatoka aisee hawakomi hawa!
Kwa tulioishi nchi za gulf arabuni tutakuwa mashahidi, kule hakuna kusikia mwizi huyo..
Mwizi huyo..
Kuna nchi nimeishi huko unaweza enda likizo ukaacha nyumba yako wazi na ukirudi baada ya mwezi au zaidi utakuta vumbi tu ndani au labda paka aingie lakini kila kitu utakuta salama.
Sasa nenda wewe kaibe au ufanye mauaji kule
Hapa kwetu hususan mwaka huu kila siku news unasikia mtu kaua kakamatwa tena na ushahidi kabisa!lakini basi husikii kingine zaidi ya kusikia anapelekwa mahakamani! Hawa wauaji kwa wenzetu huko hawavuki siku 7 anakua keshapotezwa nae hii inasaidia kwa wengine kuogopa kutenda jambo la kuua
Mfano nilisikia mwezi jana kuna mtu huko shinyanga kaua mke wake kwa kumkatakata mapanga na kutenganisha viungo!
Ikasemekana huyu muuaji pia miaka ya nyuma alisha muua mama yake mzazi lakini akahukumiwa kwa kuua bila kukusudia!akafungwa miaka minne sijui. Sasa alivyomaliza kifungo amekaa na familia yake na mwisho wa siku kaua mke! Imagine mtu yule yule!
Hivyo hawa panya road na wauaji ni wa kuwa miminia bullets tu itakua mwisho wao.
Oneni Korea huko kuna waziri wa ulinzi yeye alisinzia tu wakati Rais akihutubia kikaoni, lyule alipigwa kombora akafariki!