Kichaafulani
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 1,295
- 1,275
Habari,
Mimi ni kijana wa Kitanzania, elimu yangu ni shahada nimewahi kufanya kazi katika mashirika mbalimbali na mpaka hivi sasa nimeajiriwa.
Kitu kinachonishangaza ni kwamba, kila mahali ninapokwenda/ kuishi watu hunidhania kuwa ni Afisa wa usalama wa Taifa. Hali hii ilianza chuoni, ofisini na sasa imefika mpaka mtaa ninaoishi.
Binafsi sifurahishwi na hali hii, nataka nijiepushe nayo na nimekuja jamvini mnipe ushauri. Nifanye/ nisifanye nini ili hali hii ikome maramoja?
Mimi ni kijana wa Kitanzania, elimu yangu ni shahada nimewahi kufanya kazi katika mashirika mbalimbali na mpaka hivi sasa nimeajiriwa.
Kitu kinachonishangaza ni kwamba, kila mahali ninapokwenda/ kuishi watu hunidhania kuwa ni Afisa wa usalama wa Taifa. Hali hii ilianza chuoni, ofisini na sasa imefika mpaka mtaa ninaoishi.
Binafsi sifurahishwi na hali hii, nataka nijiepushe nayo na nimekuja jamvini mnipe ushauri. Nifanye/ nisifanye nini ili hali hii ikome maramoja?