Hahah kwahio ushakuwa dingi mtarajiwa mzee baba. Mi kanuni yangu ni moja, simwagi maanii zangu ukeni kwa mwanamke ambae sipo tayari kuishi nae. Zitafyatukia kokote ila lazma iwe nje ya uke!Usipange ndugu yangu kama nyumbani kwenu hawakubani naupo huru, me nilipanga ila nilipopanga2 demu akanitegea mimba ila nahisi ningekuwa home asingenifanyia ujinga huo naalifanya hivyo kwakujua geto ninalo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wahuni wote wanajua hili, na huu mchezo ni toka vyuoni watu wanao ila wamekula kobis humu. Kama huna tabia za kupenda vitobo home una settle freshi tu hadi ukioa.Influence kubwa ya kupanga ni mademu/demu kuwa na Uhuru nae hill naona mnalikwepa bila kupepesa hiyo ndio influence kubwa ya watu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatzo huwez amin sijafikiria mwanamke katika kupanga....naamin km nikipanga biashara n mimi wte ttafaidika.....nikiwa mwenyew rum bila disturbance hua nnabuni vtu vng mno....ht hii biashara inaendelea kwa channels nlzobun nlpokua geto chuoWahuni wote wanajua hili, na huu mchezo ni toka vyuoni watu wanao ila wamekula kobis humu. Kama huna tabia za kupenda vitobo home una settle freshi tu hadi ukioa.
HahahahahOh yeah...
I see a mama's boy anatomboka tu!
Hongera mkuu, sisi wengine tukishalazwa vifuani akili zakichwa kikubwa huwa zinaturuka zinabaki zinafanya kazi akili zakichwa kidogoHahah kwahio ushakuwa dingi mtarajiwa mzee baba. Mi kanuni yangu ni moja, simwagi maanii zangu ukeni kwa mwanamke ambae sipo tayari kuishi nae. Zitafyatukia kokote ila lazma iwe nje ya uke!
Hivyo madhila kama hayo siwezi kuyapata tena, ilishantokeaga mara moja kisha nilijifunza!
Hahah tabu itakuwa pale paleHongera mkuu, sisi wengine tukishalazwa vifuani akili zakichwa kikubwa huwa zinaturuka zinabaki zinafanya kazi akili zakichwa kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui kwann nimecheka...hahahahHahah kwahio ushakuwa dingi mtarajiwa mzee baba. Mi kanuni yangu ni moja, simwagi maanii zangu ukeni kwa mwanamke ambae sipo tayari kuishi nae. Zitafyatukia kokote ila lazma iwe nje ya uke!
Hivyo madhila kama hayo siwezi kuyapata tena, ilishantokeaga mara moja kisha nilijifunza!
kama hakuna shida home ucpange tulia kwanza mambo ya kiset hama ila mie nimeanza kupanga nikiwa na miaka19 na issue ilikuwa ni masomo na sehem nilipo kuwa na pig mishe so nikaona bora nipange ili niw karib na hzo sehemTangu mwaka jana mwez wa 8 nilidhamiria kutoka maisha ya home na kwenda kupanga....!!maana nilihisi itakuwa vizuri zaidi kwa mimi kupanga mipango ya maisha....lkn pia ni kwakuwa ni mwanzo wa safari yangu ya maisha....nina miaka 24
Ninafanya biashara ya duka....pia nna channel zingine za kuingza pesa mbali na hili duka...so hua nikikusanya nlchokipata angalau kinakidh mahitaji
Hela naipata....but kila nikipanga kuanza kutafta chumba tu....!!ile nikiamka kesho yake hela yote nanunulia bidhaa dukani...nimeghairisha huu mpango tangu mwezi wa 8 mpk sasa....!!
Nashukuru Mungu duka linakua kweli...limepiga hatua kubwa saaana....!!
Lakini naomba kujua hii hali ya kughairisha huu mpango na kuiweka hela ya kodi na gharama zote za kupanga dukan inatokana na nn??(uoga wa kupanga au uoga a kufilisika?)
Na hapo sio kama sijanunua kitu chochte
.jiko la gesi,sofa,kitanda,trays za vyombo,sabufa,na vyombo vyte vya kupikia nshanunua tyr
Nini tatzo...???...naomba msaada
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaa, nambie bashii umekumbuka au kuwaza nini bibie?Sijui kwann nimecheka...hahahah
Aisee!!!
Hahaha basi tuu...Haaa, nambie bashii umekumbuka au kuwaza nini bibie?
Kwa age hiyo na unachofanya uko sahihi.
Hizo gharama za kupanga achana nazo, wekeza kwenye kukuza biashara, ukipata kiwanja nunua.
Unaweza baada ya muda kuanza kujenga taratibu, hata nyumba ndogo ya vyumba viwili ukahamia.
Mungu akikupa Neema zaidi kuna siku utajenga kubwa zaidi.
Hakuna sababu ya kupanga kama una pa kukaa na hubanwi.
Safuha kazungumza sahihi.
unamponza...atazeekea home
Af wewe!Hahaha basi tuu...