Hii hali kuna mtu ishamtokea maana!

Ni hofu uliyonayo na unajua wewe hiyo hofu inaanzia wapi? Hakuna kitu kibaya ni hofu tu
 
Hii na mimi huwa ina nitokea kwa mademu nisio waamini.. ngoma ina simama kwa shida sana
 
Pole sana... una misi misi kama gari iliyokua na tatizo la pump...

Muombe mkeo msamaha... kwa kuchepuka...


Cc: mahondaw
 
Mkuu huenda unatuficha tu. Hutaki kutuambia ukweli, sengine mama chanja anakuvumilia tu ila ukajifanya mjanja umetafuta mchepuko sasa una aibika. Unakiona chamoto. Rudi nyumbani kumenoga😃
 
Mkuu huenda unatuficha tu. Hutaki kutuambia ukweli, sengine mama chanja anakuvumilia tu ila ukajifanya mjanja umetafuta mchepuko sasa una aibika. Unakiona chamoto. Rudi nyumbani kumenoga😃
😂😂😂🤣🤣🤣 Mkuu mama chanja anaijua shughuli yangu asee, hata huyu mchepuko siku yenyew dude limekubali kama nilivosema alifikir nimetia Viagra asee wakat hata sizijuia rangi zake asee. Mama chanja namheshim sana mkuu, basi tu kujifanya vidume.
 
Pole sana... una misi misi kama gari iliyokua na tatizo la pump...

Muombe mkeo msamaha... kwa kuchepuka...


Cc: mahondaw


Dah, nitaanzanje baharia mwenzangu, si ugomvi huo, yaani nichomoe betri huku najua Tank limejaa Petrol mkuu, kuwa serious, hapa napiga tease tu kujipa moyo 😁🙂
 
Hhaha basi kuna shida mahali inabidi uchunguze mkuu😂
 
Hiyo ni dalili ya ushoga mkuu,chukua hatua mapema
 
(Nleterewa nganengo...means niliomba nikapewa)
Nimependa hitimisho lako boss
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…