Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri sangoma waje
Aha sawa me nilidhani unapata woga kwakuona nguo zakidume mwenzakoHahahaha nimechungulia sana hilo geto asee, sijaona vitu vya kiume, kama ameficha sijui atakuwa kaficha wapi asee...
Hahahaha dah, roho inaniuma kumuacha hivi hivi dahAha sawa me nilidhani unapata woga kwakuona nguo zakidume mwenzako
😂😂😂🤣🤣🤣 Mkuu mama chanja anaijua shughuli yangu asee, hata huyu mchepuko siku yenyew dude limekubali kama nilivosema alifikir nimetia Viagra asee wakat hata sizijuia rangi zake asee. Mama chanja namheshim sana mkuu, basi tu kujifanya vidume.Mkuu huenda unatuficha tu. Hutaki kutuambia ukweli, sengine mama chanja anakuvumilia tu ila ukajifanya mjanja umetafuta mchepuko sasa una aibika. Unakiona chamoto. Rudi nyumbani kumenoga😃
Hhaha basi kuna shida mahali inabidi uchunguze mkuu😂😂😂😂🤣🤣🤣 Mkuu mama chanja anaijua shughuli yangu asee, hata huyu mchepuko siku yenyew dude limekubali kama nilivosema alifikir nimetia Viagra asee wakat hata sizijuia rangi zake asee. Mama chanja namheshim sana mkuu, basi tu kujifanya vidume.
Muulize mkeo amekufanyia kitu gani...
Habari za jioni wapendwa!
Aisee kuna kitu nakiona hakimo kawaida, nina msichana wa pembeni (mchepuko) mara ya kwanza nakutana naye, kitu kililala mazima, mwili ukawa kama umeishiwa nguvu, nimejaribu usiku mzima hakuna mishe asee, siku ya pili ikaamuka kidogo kama sekunde kadhaa mambo yakagoma tena, sasa nikajihisi labda uanaume wa kinondoni umeniandama, lakini nilipofika kwa mama watoto mambo yako sawa tu, nimecheza dakika 90 na magoli ya kutosha.
Nikaamua kumwendea tena mara ya tatu, siku hiyo mambo yalienda sawia tu, tena akawa anahisi labda nimekunywa viagra sababu hakuelewa siku ya kwanza na ya pili ilikuwaje, shida sasa jana nikatoka tena, hali ya kipindi kile imerudi tena yaani haisimami... miguu kama inaisha nguvu, wasiwasi sijui ni nin?
Sasa ni nin tatizo wadau, wazee wa psychology mnaweza mkanisaidia. Haijawahi kunitokea before, hili jambo limenishangaza sana.
Nawasilisha.
Hao ndio wabaya zaidi...wanaficha maovu yao kwa kigezo cha imanMkuu huyu ni mlokole wa kutupwa, hata kunusa najua hawezi asee.... hili tatizo ni mim mwenyew tu, ndio maana nashangaa sana
Hii hali ni nilifikiri ni mimi tu mimi demu nisiye muamini dakika 5 chaliHii na mimi huwa ina nitokea kwa mademu nisio waamini.. ngoma ina simama kwa shida sana
Tulia na mkeo acha ujinga!Hana mume brother! Mtoto mbichi na wa kishua kabisa sijui shida inanipata nin! Inaniuma sana kumkosa
Mwanasaikolojia;-
Hujiamini, una hofu, una mchecheto sana (huenda hujawahi kuvuliwa nguo na mwanamke mzuri kama huyo)
Kalumanzila;-
Huyo mchepuko ana jini mahaba (halikubali ulinyang'anye kitoweo chake)
Maandiko;-
Matokeo ya uzinzi (huenda mama watoto anamwomba sana Mungu akuepushe na michepuko sababu anajua namna wanavyoweza kusambaratisha ndoa na familia)
Wahenga;-
Huenda kuna kitu kikubwa na kibaya unaepushwa nacho (ugonjwa, kuolewa, kusambaratisha familia n.k)
Wauzaji wa Mundende;-
Una upungufu wa nguvu za kiume.
Mimi;-
"Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa" Mithali 6: 32.
Nb;-
Za kuambiwa changanya na zako.