Hii hali kuna mtu ishamtokea maana!

Uko vizuri sana kwa madini Bosi.
 
Sometimes you body,kwnyw mfumo wa kujilinda inakupa ishara "this is a wrong woman" ,kaa nae mbali,ukiforce sawa.
Najikuta ninakubali comment yako mkuu. Hali hiyo ilishanitokea huko nyuma kwa watu tofauti mie!

Na wote nilivyowafuatilia background zao, wote ni harrots, wanangoma na wakunywa dawa.

walitaka kunisambazia grid makusudi kwa kupenda kwangu kavu kavu kuliko hata chakula.
 
Tupe experience pale unapochepuka na mwingine tofauti na huyu wa kishua
Hahahaha ebhana, mim huwa sichepuki ovyo ovyo, ila huyu aliniteka asee, na ile siku nimepiga naye show, alikubali mwenyew. Itabid nijaribu kwa mwingine asee, isije nikawa nimefungwa
 
Kwa shida ulifanikiwa kujivua aibu usithubutu kurudia utaichukua tena aibu yako na kubaki nayo.
 
Kama unangonokea kwenye geto lahuyo demu mwambie atungue hizo suruali zakiume alizozitundika nyuma yamlango mkuu kama inawezekana azitupie chini yauvungu
 
Kama unangonokea kwenye geto lahuyo demu mwambie atungue hizo suruali zakiume alizozitundika nyuma yamlango mkuu kama inawezekana azitupie chini yauvungu

Hahahaha nimechungulia sana hilo geto asee, sijaona vitu vya kiume, kama ameficha sijui atakuwa kaficha wapi asee...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…