Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,006
- 11,310
Hivi nilishawahi kukwambia na mimi natafuta mchepuko?Sasa kama njia ya mchepuko inasumbua kwanini usibaki zako njia kuu ili kulinda heshima yako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi nilishawahi kukwambia na mimi natafuta mchepuko?Sasa kama njia ya mchepuko inasumbua kwanini usibaki zako njia kuu ili kulinda heshima yako?
Hahaha ningekua mnafiki ningekupa ushauri wangu pekee.Hahahah dah, huu ushauri japo umekaa kinafiki nauchukua
Tupe experience pale unapochepuka na mwingine tofauti na huyu wa kishuaHana mume brother! Mtoto mbichi na wa kishua kabisa sijui shida inanipata nin! Inaniuma sana kumkosa
Uko vizuri sana kwa madini Bosi.Mwanasaikolojia;-
Hujiamini, una hofu, una mchecheto sana (huenda hujawahi kuvuliwa nguo na mwanamke mzuri kama huyo)
Kalumanzila;-
Huyo mchepuko ana jini mahaba (halikubali ulinyang'anye kitoweo chake)
Maandiko;-
Matokeo ya uzinzi (huenda mama watoto anamwomba sana Mungu akuepushe na michepuko sababu anajua namna wanavyoweza kusambaratisha ndoa na familia)
Wahenga;-
Huenda kuna kitu kikubwa na kibaya unaepushwa nacho (ugonjwa, kuolewa, kusambaratisha familia n.k)
Wauzaji wa Mundende;-
Una upungufu wa nguvu za kiume.
Mimi;-
"Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa" Mithali 6: 32.
Nb;-
Za kuambiwa changanya na zako.
Najikuta ninakubali comment yako mkuu. Hali hiyo ilishanitokea huko nyuma kwa watu tofauti mie!Sometimes you body,kwnyw mfumo wa kujilinda inakupa ishara "this is a wrong woman" ,kaa nae mbali,ukiforce sawa.
Hahahaha ebhana, mim huwa sichepuki ovyo ovyo, ila huyu aliniteka asee, na ile siku nimepiga naye show, alikubali mwenyew. Itabid nijaribu kwa mwingine asee, isije nikawa nimefungwaTupe experience pale unapochepuka na mwingine tofauti na huyu wa kishua
Angekuwa kanifunga, siku ya tatu nisingepiga show ya maana vile bro, najua kuna shida nyingine ila siyo huyu mama watotoMkeo huenda amekufunga, kama huamini tafuta mchepuko mwingine uone
👍yawezekana MUNGU anakuepusha na majanga so ikimbie zinaaa mkuuu
Usijisumbue, maana na wewe utakwama kama huyu jamaa yako...wewe baki tu njia kuu!😂Hivi nilishawahi kukwambia na mimi natafuta mchepuko?
Hofu, msongo wa mawazo na uwoga.... Ukiwa na hivyo vitu yaani ata uwe na mke wako wa ndoa ngoma haisimami ng'ooo.... We relax tu mzee... Ila kama hali ikizidi muone daktar
Kama unangonokea kwenye geto lahuyo demu mwambie atungue hizo suruali zakiume alizozitundika nyuma yamlango mkuu kama inawezekana azitupie chini yauvungu
Daktari ni mkewe!