Sina haja ya kueleza mengi. Mtakumbuka mwanzoni mwa mwezi huu nilikuja hapa kueleza kuwa nina nia ya kununua gari kutoka kampuni ya wauzaji SBT japani. Ni mara ya kwanza kuagiza ktk kampuno hii. Nimezoea Beforward.
Baada ya kufanya process zote za malipo na gari yangu kuaninishwa kama tayari imeshauzwa sasa nikabaki kusubir kile wanaita CAP yani Car at progress. Huu ni mfululizo wa taarifa na habari mteja hujuliwa ni lini gari inafanyiwa booking ya safari, lini itaondoka japani kuja mahali mteja alipo, meli itakayo beba na makadirio ya muda gari itawasili kwa mteja.
Baada ya kukaa siku 10 huki nikiona kimya nikawafata Sales personel huko huko. Nilichojibiwa nimeshangaa.Eti Booking inafanyika ila inakadiriwa kuanza kusafirishwa tar 29 mwezi wa tisa. Hii imenishtua. Au nililipa pesa kwa wajanja?
Kwa Beforward mamvo hayakuwa hivi. Ilichukua wiki sita tu gari zangu mbili zikanifikia. Hii ya sasa sbt wiki sita zinakatika bado haijaanza safari
Baada ya kufanya process zote za malipo na gari yangu kuaninishwa kama tayari imeshauzwa sasa nikabaki kusubir kile wanaita CAP yani Car at progress. Huu ni mfululizo wa taarifa na habari mteja hujuliwa ni lini gari inafanyiwa booking ya safari, lini itaondoka japani kuja mahali mteja alipo, meli itakayo beba na makadirio ya muda gari itawasili kwa mteja.
Baada ya kukaa siku 10 huki nikiona kimya nikawafata Sales personel huko huko. Nilichojibiwa nimeshangaa.Eti Booking inafanyika ila inakadiriwa kuanza kusafirishwa tar 29 mwezi wa tisa. Hii imenishtua. Au nililipa pesa kwa wajanja?
Kwa Beforward mamvo hayakuwa hivi. Ilichukua wiki sita tu gari zangu mbili zikanifikia. Hii ya sasa sbt wiki sita zinakatika bado haijaanza safari