Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,744
ni moja ya game nzuri za snipers ambayo nimeipenda. inaitwa contract killer sniper nachezea kwenye simu. tatizo inataka hatua nyingine ninunue silaha kali ambazo mimi sina pesa maana kuna silaha hadi tsh 100,000 ukiacha kununua diamond/golds ambazobei ya chini kabisa ni tsh 11,000.
nani anafaham cheats zake please anisaidie kwa android phone.
nani anafaham cheats zake please anisaidie kwa android phone.