Hii Fastjet bora ife tu

Hii Fastjet bora ife tu

Nimechelewa dak 1 tu check in wamenizuia kabisa pamoja na kubembeleza kote kule halafu naenda kusogeza tiketi mbele wanadai 255 Ikabidi nikakate air Tanzania tiketi mpya kwa 230
Yaliwahi nikuta kama yako mwezi wa 4 mkuu...wapuuzi mno hao
 
T&C applies.....
Vigezo na masharti yazingatiwa....

Kwenye ticket yako kuna masharti ambayo wengi hawavitilii manani.

Dakika 45kabla ya muda wa kuondoka ndege ndo mwisho wa kuingia waiting lounge.
 
Nimechelewa dak 1 tu check in wamenizuia kabisa pamoja na kubembeleza kote kule halafu naenda kusogeza tiketi mbele wanadai 255 Ikabidi nikakate air Tanzania tiketi mpya kwa 230
Pole sana jamaa yetu.kuna watu humu kila kitu kwao ni kebehi tu.ila wasamehe bure...hizi kampuni za kipigaji tu, hapo hao servants walitaka utowe kitu kidogo ndio wakuruhusu ila haukuwaelewa lugha yao.
Next time nenda ATCL hewaniiii
 
Ungewahi ungepungukiwa nn?mm naona sawa tu
 
Wao wanajidai wanajali mda wao wa kuondoka lakini ikitokea wao wamechelewa inabidi uwasubiri ila wewe ukichelewa hawakuelewi
 
Pole sana jamaa yetu.kuna watu humu kila kitu kwao ni kebehi tu.ila wasamehe bure...hizi kampuni za kipigaji tu, hapo hao servants walitaka utowe kitu kidogo ndio wakuruhusu ila haukuwaelewa lugha yao.
Next time nenda ATCL hewaniiii
Hivi ATCL nikichelewa wananipokea tu? Yale MAELEZO yao wanataka yazingatiwe na mteja ni ya uongo?
 
Hivi ATCL nikichelewa wananipokea tu? Yale MAELEZO yao wanataka yazingatiwe na mteja ni ya uongo?

Air tanzania wanakupokea maana tumeingia na watu wake wao wamepita sisi ndo tumezuiwa
 
Pole sana jamaa yetu.kuna watu humu kila kitu kwao ni kebehi tu.ila wasamehe bure...hizi kampuni za kipigaji tu, hapo hao servants walitaka utowe kitu kidogo ndio wakuruhusu ila haukuwaelewa lugha yao.
Next time nenda ATCL hewaniiii
Siku ukichelewa check in ya ATC ndio utajua habari yake
 
wewe unadhani hiyo ni Mohammed trans!!!

Watz sijui tukoje yaani kwenye swala la mda hatuko makini kabisa!!!

Yaani mtu unapewa masaa mawili kabla bado unachelewa sijui unataka ndege ikusubiri wewe!!!
 
Back
Top Bottom