Ipeleke DSTV inahitaji software upgradeTangu juzi decoder yangu ya dstv imeniletea mauzauza. Haioneshi chochote kuna kataa kanjano kanawaka. Decoder ni DSD 3 U. Mwenye ufahamu anisaidie maana dstv wameniambia nizime na kuwasha na nimefanya hivyo mara kadhaa. Napitwa na habari