Kitu kimoja ni kwamba... Familia nyingi za ki Tanzania hupenda kuwachagulia watoto nin cha kusoma,..but mi naona Do what you love from your heart. Mtu akifauru Biology, chemistry, na physcs atakwambia nataka nisome MD, au CO... Ila hana ndoto hizo za udaktar mapema sikufichi huwa ndo ilivyo,, mathematics ikitambaa kidogo atasema mimi nataka kusoma civil Engjneering tu!! Ndo vitu ambavyo vipo..ni better u realize what u love .mapema sana, gundua talent yako ifanyie kazi.. Maisha sio kuwa daktari, mwalimu au... E.t.c..Fight for a good life and enjoy what you love.Sodoka uko vizuri..
Kwahyo sound engineer wakoje na wanasoma nni
Huyo SODOKA anasoma SUA? Kakosoa nini?Ok sawa ila kuna mtu hapo sodoka mzee wa sua ckosei kakosoa baadhi ya taarfa hvyo yaonyesha bado taarfa hazijawa za kutosha.
Bout sound?Ok sawa ila kuna mtu hapo sodoka mzee wa sua ckosei kakosoa baadhi ya taarfa hvyo yaonyesha bado taarfa hazijawa za kutosha.
Unajua Huwezi kuelewa chochote kwa kitu ambacho hukipendi... Mimi nlicho andika kuhusu multimedia sijacopy, wala kutunga but I understand.Cjui lbda sodoka aje tena na reference zake
HellowHello
HahahaYudomu ni jipu,inakuja na mijitu ya ajabu ajabu,sasa ilo ni likozi gani
Wewe ni **** . Kwasababu hujui manufaa ya hiyo kitu....au kwasababu unaichukia udom toka damuni?Yudomu ni jipu,inakuja na mijitu ya ajabu ajabu,sasa ilo ni likozi gani
hiv ukimaliza diploma ya Information technology(IT) unaweza kusoma computer engineering?pale juu kuna jamaa kapotosha ..huwez kuwa sound engineer kwa kusoma hii kitu ..utaishia kama yule jamaa mtengeneza katuni za Mama Ndege wa TBC .....achana nayo hii kitu....
Wew tu na mipango yako ya kusoma, ukimaliza IT omba tena Comptr engnrng. isome ni simple....hiv ukimaliza diploma ya Information technology(IT) unaweza kusoma computer engineering?
nazungumzia kutoka dipl ya IT anaweza kusoma bachelor ya computer engineering??Ila IT na Computer engineering ni course mbili tofauti
Dep hakuna hiyo faniUDOM bado wanapokea watu kwa upande wa diploma?