Mulangila Mukuru
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 1,945
- 724
Ndugu zangu nina ka Pc kangu kalikuwa kanafanya kazi vizuri lkn hivi karibuni kameanza kunisumbua kwenye typing yaani ukiwa unabonyeza keyboard maneno yanachelewa kutokea kwenye monitor yaani mpaka ubonyeze kwa nguvu sana ndo yanatokea, nimenunua keyboard mpya jana tatizo likawa palepale nifanyeje wazee msaada wenu plz!