Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,015
- 103,410
Hilo ni moja Kati ya mambo mazuri ya Nyerere na kuna mengi mazuri ya JPM simple
Siangalii mazuri boss, naangalia wajibu kwakuwa kiongozi analipwa mshahara. We ndio unaangalia kwa mtazamo wa mazuri. Hata hivyo hoja hapa haikuwa mazuri ya kiongozi fulani, bali we kutaka kuonyesha Magufuli alikuwa bora kwenye maamuzi ya mambo haya. Nimekuwekea mifano halisi kuwa msipotoshe maana haya kuwa hata kwenye utawala wa Magufuli yalikuwa ni haya haya.