Hii Clip imfikie Rais Samia, ukweli mchungu ambao waliomzunguka hawataki ausikie

Magu alikuwa na mapungufu yake Sawa Ila kwenye uongozi na uajibikaji alikuwa best

Ishu ya ajali ya ndege ingekuwa ni wakati wa magu watu wengi wangetumbuliwa

Miaka yote ya magu hakukuwa na mambo ya shida ya maji na umeme sijui alifanyaje but kuna Jambo la kujifunza

Yes magu hakusafiri na serikali ilikata Sana Safari zake but vitu vimeonekana , Nani alitegemea daraja la ubungo na tazara ?

Viko kwenye makaratasi miaka 30 back but yy alidhubutu kufanya

Angalia road ya Kimara ilivyo tamu,


Magu bwana pamoja na ubaya wake but uzuri wake unafunika mabaya yake

Mmhhh sifa nyingine bana. Ajali ya gari la mafuta hapo Msamvu ilitokea na kuua watu kibao. Majaliwa kama kawaida yake akaunda tume hadi leo taarifa yake haikutolewa. Mbona Magufuli hakumtumbua yoyote? Tena yeye ndio alichangia hata watu wakafia hapa Muhimili kwa kulazimisha eti watibiwe kwenye hospitali zetu kwa kigezo cha uzalendo. Wahanga wa moto ule wangepelekwa Nairobi hapo wengi sana wangepona, au wangekuja madaktari toka nje bado wangepona wengi.

Kivuko cha ukara hapo kiliua watu kibao,je walitumbuliwa watu wangapi? Hata kuaga miili ya wahanga yenyewe hakwenda.
 
Mama Samia tunaomba umsikie na kumsikiliza Mwanamke mwenzio ambaye siyo mwanasiasa na haishi hapa nchini, ameyaongea haya bila double standard hata chembe.

Usikimbilie kusema "Watu wa Dar kitu kidogo tuu wanalalamika", mpaka sasa viatu vya Magufuli hujaweza hata kuvishika, acha tuu kuvijaribisha. 2025 upinzani hata ukimsimamisha nyangarika yeyote yule anaweza akakushinda vibaya sana.

Hayo yote sababu mtaani hali ni mbaya, na Januari iko njiani.

View attachment 2417815

Alivyomtaja Kabudi tu kaharibu, that Man is simply useless
 
Mmhhh sifa nyingine bana. Ajali ya gari la mafuta hapo Msamvu ilitokea na kuua watu kibao. Majaliwa kama kawaida yake akaunda tume hadi leo taarifa yake haikutolewa. Mbona Magufuli hakumtambua yoyote? Tena yeye ndio alichangia hata watu wakafia hapa Muhimili kwa kulazimisha eti watie kwenye hospitali zetu kwa kigezo cha uzalendo. Waganga wa moto ule wangepelekwa Nairobi hapo wengi sana wangepona, au wangekuja madaktari toka nje bado wangepona wengi.

Kivuko cha ukata hapo kiliua watu kibao,je walitumbuliwa wetu wangapi? Hata kuuga miili ya wahanga yenyewe hakwenda.

Tukio la Moto wa msamvu ni Jambo la kama 30mn Tu Habari imeisha, uwez kusema uzembe wa watu wa zima moto

Ajari ya ndege uzembe ni mwingi mno,

Ww bwana tindo humpendi magufuli na sababu yako kubwa me naelewa ni mambo ya uporaji kwenye uchaguzi
 
Mama Samia tunaomba umsikie na kumsikiliza Mwanamke mwenzio ambaye siyo mwanasiasa na haishi hapa nchini, ameyaongea haya bila double standard hata chembe.

Usikimbilie kusema "Watu wa Dar kitu kidogo tuu wanalalamika", mpaka sasa viatu vya Magufuli hujaweza hata kuvishika, acha tuu kuvijaribisha. 2025 upinzani hata ukimsimamisha nyangarika yeyote yule anaweza akakushinda vibaya sana.

Hayo yote sababu mtaani hali ni mbaya, na Januari iko njiani.

View attachment 2417815

Yani huyu Mama anasema Kabudi was good wakati WA Magufuli? Upuuzi huu kabisa
 
Wala tatizo sio Rais hata JPM hakuweza kumaliza wahuni nchi hii. Issue ni katiba, Ili Kila idara iwe huru kufanya kazi yake kuliko Sasa wanasubiri order ya bosi.

KATIBA MPYA ndio suluhu sio Rais Mpya!! Maana watendaji ni wale wale na CCM ni wale wale.
Kimsingi ninakubaliana nawe, lakini si njia pekee, na wala siyo 'fullproof' ya maovu kuisha au kupungua kwa vile tu mihimiri inajitegemea katika maamuzi.

Hapao hapo Kenya ulipotolea mfano chini ya Kenyatta, madudu ya SGR kwa mfano, si yamefanyika hapo hapo, na huyo huyo Kenyatta kakiuka baadhi ya maamuzi ya hivyo vitengo vingine vinavyojitegemea, na hakuna walichofanya.

Kuna njia nyingine ya kuhakikisha maovu nchini yanapungua.
Chama cha siasa kikiwa imara na uongozi imara ni muhimu sana kuondoa huu uchafu ndani ya nchi.
Mfano ni China na chama chao cha Kikomunisti.

Wachina ni wezi sana wakiwa huku nje, kwa vile wanajuwa hakuna litakalowasumbua kama lile ambalo lingewapata wakifanya uhujumu wa aina hiyo wakiwa huko kwao.

Sasa niseme hapa. Sina pumzi ya kuendeleza yale ya zile dhahabu za UAE.
 
Ana hoja ila ameharibu hapo anaposema suluhisho ni Rais mwanaume!! Wanaume wenyewe ndio hao kina Nape unategemea mabadiliko Gani?

Agenda ingekua Katiba mpya ndio maana Kenya Rais Kenyatta alikua mdhaifu ila mahakama na bunge ilikua inanyoosha mafisadi!! Hii kutegemea mtu mmoja ndio afanye Kila kitu naona tunarudi kule kule tu.

Hana hoja, Kaonge hewa tu
 
Mama Samia tunaomba umsikie na kumsikiliza Mwanamke mwenzio ambaye siyo mwanasiasa na haishi hapa nchini, ameyaongea haya bila double standard hata chembe.

Usikimbilie kusema "Watu wa Dar kitu kidogo tuu wanalalamika", mpaka sasa viatu vya Magufuli hujaweza hata kuvishika, acha tuu kuvijaribisha. 2025 upinzani hata ukimsimamisha nyangarika yeyote yule anaweza akakushinda vibaya sana.

Hayo yote sababu mtaani hali ni mbaya, na Januari iko njiani.

View attachment 2417815

Jovita huyu Malaya wa Texas washampiga free P namjua anaishi kwa pesa za wahuni kule Texas ni rafiki wa Kajumulo.
 
Nimesikiliza kwa kiasi ila huyo mwanamama nimemdharau kwa sababu zifuatazo..

Kwanza Eti ooh Tanzania haikuwa tayari kwa Rais Mwanamke na blaa blaa kibao,huu Ni ujinga na upuuzi..

Pili,Eti pili Rais anasafiri sana,hivi hii Ni hoja? Rais kusafiri na kutosafiri ndio Nini? Kusafiri makes sense na Hadi sasa imemake sense..

Alete namba Basi tulinganishe Mwendazake ambae hakusagfiri na Samia ambae amesafiria tuone impacts..

Mwisho Ni lini Tanzania haikuwahi kuibiwa kabla ya Samia? Kuibiwa kunahusianaje na jinsia ya mtu?

Hilo limwanamke linaongea Liko Marekani kwa Nini lisije kuishi Bongo ili kufanya justification ya linachoongea?
Mkuu acha kuandika kama una ufadhali kwenye maisha yako watu street wanaumia kichizi, Huyo bibi mkubwa ameongea point tupu na amehusisha suala la jinsia kwa sababu ukiangalia ni kweli hata kama huoni ila kiuhalisia viongozi wa chini yake wanamuona dhaifu tu na kiuhalisia ni kwamba wanajua hana uwezo wa kusimamia jambo likakamilika kiukamilifu, Hii nchi inahitaji mtu mwenye machungu na anaeweza kujitoa bila woga.... Inahitaji kiongozi ambae yupo tayari kufa kwaajili ya wananchi wake lakini bila hivyo hamna maendeleo yoyote.... Hata katiba ikibadilika bado kama hatuna kiongozi strong bado tutaendelea kusaga meno
 
Nimesikiliza kwa kiasi ila huyo mwanamama nimemdharau kwa sababu zifuatazo..

Kwanza Eti ooh Tanzania haikuwa tayari kwa Rais Mwanamke na blaa blaa kibao,huu Ni ujinga na upuuzi..

Pili,Eti pili Rais anasafiri sana,hivi hii Ni hoja? Rais kusafiri na kutosafiri ndio Nini? Kusafiri makes sense na Hadi sasa imemake sense..

Alete namba Basi tulinganishe Mwendazake ambae hakusagfiri na Samia ambae amesafiria tuone impacts..

Mwisho Ni lini Tanzania haikuwahi kuibiwa kabla ya Samia? Kuibiwa kunahusianaje na jinsia ya mtu?

Hilo limwanamke linaongea Liko Marekani kwa Nini lisije kuishi Bongo ili kufanya justification ya linachoongea?
EeeeenHeeeee!

Nilijua tu ni wewe hata kabla sijasoma mwandishi wa mistari hiyo ni nani!

Hii kazi ya kutetea kisichokuwa na sifa ni kazi ngumu sana, ila kwa watu kama nyinyi, la maana ni kuonekana mnafanya kazi, huku kazi yenyewe haionekani.

Chukulia kwa mfano uliyoandika kwenye mistari yote hiyo hapo juu. Hakuna chochote msomaji anachoweza kutoka nacho kwamba ni cha maana.
 
Magu alikuwa na mapungufu yake Sawa Ila kwenye uongozi na uajibikaji alikuwa best

Ishu ya ajali ya ndege ingekuwa ni wakati wa magu watu wengi wangetumbuliwa

Miaka yote ya magu hakukuwa na mambo ya shida ya maji na umeme sijui alifanyaje but kuna Jambo la kujifunza

Yes magu hakusafiri na serikali ilikata Sana Safari zake but vitu vimeonekana , Nani alitegemea daraja la ubungo na tazara ?

Viko kwenye makaratasi miaka 30 back but yy alidhubutu kufanya

Angalia road ya Kimara ilivyo tamu,


Magu bwana pamoja na ubaya wake but uzuri wake unafunika mabaya yake
Hakuna unachojua wewe aisee unadhani kupayuka Sana na kukunja ndita ndio kuwajibika? Ufisadi uliofanywa awamu ya 5 haijawahi kuwa na mfano yaani unashushuka na tu flyover?

Unajua kwamba flyover za Mfugale Ni expensive kuzidi flyover ya Ghana ambayo Ni 3 level na complex kuliko hiyo unayoisemea?

Hapa ndio nakuona huna akili Ni lini awamu ya 5 ilikumbwa na ukame? Yaani Kuna ukame toka mwaka Jana imeleta shida ya maji na umeme then mtu na anasema eti awamu ya 5 kukokuwa hakuwa shida ya maji..Kwa taarifa yako Hakuna Rais aliyetoa kipaombele kikubwa kwenye sekta ya Maji Kama Rais Samia,mwaka tuu uliooita miradi zaidi ya 1000 ya uviko ilifanyika,mwaka huu Kuna miradi zaidi ya 1000 ya Ruwasa na miradi ya Miji 28 achilia mbali miradi Kama Dawasa nk..

Hoja ya kutosafiri ni ujinga tuu usio na maana,Safari za Rais Samia sio tuu zimefungua masoko kwa bidhaa za Nchi Bali zimeimarisha mahusiano yaliyoharibiwa na Mwendazake on top of that zimeiwezesha Nchi kupata fursa ya mikopo ya masharti nafuu kuliko mikopo ya kibiashara ya Mwendazake..

Nakushangaa unahangaika na kabarabra ka Kimara na tuvitu minor Kama huto ambavyo vimefanyika ndani ya Miaka 6 na miradi robo 3 hakumaliza kwa mda wote alikoaa ila Rais Samia amemalizia na ameanzisha mingine Nchi nzima..

Sasa Kama unapagawa na hiyo ya Kimara itajuaje Sasa utakapoona ya Tanzam km 172 zinaanzia kujengaa mwaka huu? Hiyo Ring road ya Dom km 120 utasemaje? Arusha to Moshi Hadi mpakani na Kenya km 108 utasemaje? Na nyingine nyingi Nchi nzima zinajengwa...

Chini ya Mwendazake Sekta nyingi zilikuwa paralysed ila saizi Kila sekta inaenda Tena vizuri.
 
Back
Top Bottom