mbeyaboyfrancy
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 248
- 91
Habari ya weekend jana nimenunua simu ya tecno L8 ndani ya box nimekutana na hii cable nilikuwa nataka kujua ina kazi gani
Hyo ya kuunganisha Simu na TV yani ukiunganisha hapo kitu utakachokuwa unafanya kwenye Simu utakiona kwenye TV yako but make sure hyo TV ina port ya USBHabari ya weekend jana nimenunua simu ya tecno L8 ndani ya box nimekutana na hii cable nilikuwa nataka kujua ina kazi ganiView attachment 370150View attachment 370152
Hahahah hiyo note book ya dogo anasoma advance now ila ndoto yake kuja kuwa Electrical EngineerTumeona jina la kampuni. Kapange Electrical Work!
Ooh flat yangu ina port ya usb ngoja nijaribu kuchomeka nitaleta feedbackHyo ya kuunganisha Simu na TV yani ukiunganisha hapo kitu utakachokuwa unafanya kwenye Simu utakiona kwenye TV yako but make sure hyo TV ina port ya USB
Asante nimejaribu kuchomeka flash imekubali kusoma kwenye simu, vipi siwezi kutumia modernHata ukitaka kuchomeka USB Flash kwenye simu yako ili kuhamisha data au kukopi data unachomeka hiyo cable kwenye simu kisha upande mwingine unaweka flsh
Ooh ila jaribio lako la kuchomeka simu yangu kwenye tv kutumia hiyo cable limefeli coz port zake zote za aina moja(zote ni female)Hyo cable adimu sana mkuu itunze ikutunze hautojuta kuipata
Connect HDMI cable hapo ndo uipeleke kwenye TVOoh ila jaribio lako la kuchomeka simu yangu kwenye tv kutumia hiyo cable limefeli coz port zake zote za aina moja(zote ni female)
Dhaa hiyo hdmi cable sina,vipi unafaham bei zake dukaniConnect HDMI cable hapo ndo uipeleke kwenye TV
Dhaa hiyo hdmi cable sina,vipi unafaham bei zake dukani