ndio maana namkuu kiongozi 1 wa jesho la polisi hapa tz alisema rais ajae awe dictator la sivyo tunakoelekea ni kubaya sana kwa kizazi cha watoto wetu na wajukuu, nadhani alimaanisha udictator utaanzia huko huko kwenye jumba jeupe manake hawa wameua nchi kabisa, we nchi gani hata ndege hatuna tunashindwa na zimbwabwe ambao njaa muda wote, wana midege mikubwa sisi hicho hicho kidash 8 tena cha mkopo siku wenyewe wakikasirika tunarudisha,