Lovebird
JF-Expert Member
- Sep 27, 2012
- 5,785
- 7,749
Nakumbuka nikiwa mdogo (darasa 3-4) nilikuwa nikipewa barua nimpelekee Dada/kaka, mdau alikuwa akiniambia ifiche vizuri mtu asiione...mwenzenu nilikuwa mtiii napeleka na sijuu nini kimeandikwa mle....baada ya kukua (darasa la 5-7) ndo nkajua dada/kaka walikuwa wakiwasiliana na viburudisho vyao wakiombana ku-siginanaaaaa
Msimu ule wadau walikuwa wakijitahidi kuandika vizuri na kuremba mwandikoo...waliopitia haya maisha hadi leo wana miandiko mizuri kuliko kizazi cha doti com
kipindi hicho kiliendana na viatu vya skuna/gogo gogo/ukipasi nguo unaweka alama ya nyota kwenye shati/ suruali za bwanga etc
Old is gold
Msimu ule wadau walikuwa wakijitahidi kuandika vizuri na kuremba mwandikoo...waliopitia haya maisha hadi leo wana miandiko mizuri kuliko kizazi cha doti com
kipindi hicho kiliendana na viatu vya skuna/gogo gogo/ukipasi nguo unaweka alama ya nyota kwenye shati/ suruali za bwanga etc
Old is gold