Hii awamu inatafuta mkunaji

Hii awamu inatafuta mkunaji

Raia Fulani

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2009
Posts
11,866
Reaction score
4,252
Sijajua kama ni awamu ya sita au saba, ila nachojua ipo kama jike la hayawani lililopo kwenye joto. Inatafuta mkunaji ila haiko tayari kukunwa.

Bado haijapata beberu sahihi kufanya hiyo kazi, maana mabeberu wanaojitoa wanapata changamoto isiyo kawaida.

Nahisi yupo beberu mmoja anatafutwa, ambaye "kamng'oa" mmoja juzi ndani ya saa 2 na dk zake.

Hayawani ukae mkao maana nasi tushajua, kwani who are we kufanya kazi unayoitaka? Beberu who are you keshaielewa code. Nasi tumeshaielewa pia ndio maana tumempisha.

Chokochoko zako si za kitoto. Unacbezea sana sharubu za watu halafu unawang'ong'a.

Joto likizidi sana utawehuka ewe awamu. Utawehuka kama watoto kwenye zile shule za bweni

Nachojua huyu beberu anayetafutwa hana interest kwa sasa na atakachifanya ni uwezeshajji wa beberu wa ndani kutekeleza kiu yako, kwa nguvu au ridhaa.

Sio kwa chokochoko hizi aisee
 
Hili la wakatoliki wa kuchaji limeamsha kengele za balozi zote za kigeni zilizopo Bongo kuna chama nakiona hakivuki 2030.
 
Ngoja wanangu Gen Z waje wawakune tarehe 12 maana kipele kinazidi kuwawasha.
 
Screenshot_20251222-120716~2.png
 
Wao wanajua wanajenga ,kumbe wanazidi kubomoa na kuwaamsha waliotulia, yaani kweli unaenda kukusanya madada poa akina mwajuma ,wanajifanya wakatoliki?
Mbaya zaidi hata kuigiza wameshindwa
 
Wao wanajua wanajenga ,kumbe wanazidi kubomoa na kuwaamsha waliotulia, yaani kweli unaenda kukusanya madada poa akina mwajuma ,wanajifanya wakatoliki?
Mbaya zaidi hata kuigiza wameshindwa
Hawajui watendalo. Na hili haachiwi Mungu kwa kweli
 
Kila movie wanayotoa script mbovu wasanii wao wanazidi kuwavua nguo.
 
Back
Top Bottom