High quality, huwezi kupata popote

Miunda

JF-Expert Member
Aug 26, 2014
530
180
Una mjengo? Unahitaji vitu kama hivi? Ni very expensive lakini ni quality ya hali ya juu, huwezi kupata Tanzania labda uwagize ulaya au America, kwa nini ununue vya China baada ya miezi 6 vimekufa? Asikudanganye mtu, wafanya biashara tz sio wakweli, atakuwambia quality, lakini sio kweli wananunua rahisi China low quality ili ku make profit.

Sasa mimi nafanya biashara hii lakini not officially, naweza kikupatia bei powa kutoka UK, hizo bei unazo ziona ndio thamani yake lakini nazipata less than that. Pm me if you are interested
 

Attachments

  • 1433015629751.jpg
    1433015629751.jpg
    72.6 KB · Views: 80
  • 1433015641494.jpg
    1433015641494.jpg
    74.6 KB · Views: 70
  • 1433015657812.jpg
    1433015657812.jpg
    66.4 KB · Views: 76
  • 1433015670631.jpg
    1433015670631.jpg
    48.4 KB · Views: 81
Back
Top Bottom