Miunda
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 530
- 180
Una mjengo? Unahitaji vitu kama hivi? Ni very expensive lakini ni quality ya hali ya juu, huwezi kupata Tanzania labda uwagize ulaya au America, kwa nini ununue vya China baada ya miezi 6 vimekufa? Asikudanganye mtu, wafanya biashara tz sio wakweli, atakuwambia quality, lakini sio kweli wananunua rahisi China low quality ili ku make profit.
Sasa mimi nafanya biashara hii lakini not officially, naweza kikupatia bei powa kutoka UK, hizo bei unazo ziona ndio thamani yake lakini nazipata less than that. Pm me if you are interested
Sasa mimi nafanya biashara hii lakini not officially, naweza kikupatia bei powa kutoka UK, hizo bei unazo ziona ndio thamani yake lakini nazipata less than that. Pm me if you are interested