Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,035
- 33,752
DuhKwa hiyo tumsifie jiwe? Maana yule jamaa kwa kupenda sifa za kijinga hajambo
![](http://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji23.png)
![](http://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji23.png)
![](http://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji23.png)
![](http://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji23.png)
DuhKwa hiyo tumsifie jiwe? Maana yule jamaa kwa kupenda sifa za kijinga hajambo
Inatusaidiaje?![]()
Hifadhi ya Taifa Serengeti imeshinda tuzo ya kuwa hifadhi bora kwa Bara la Afrika kwa mwaka 2019, tuzo iliyotolewa jana na Taasisi ya World Travel huko nchini Mariutius.
Hii ni ya pili kwa Hifadhi hiyo ya Serengeti kutangazwa kuwa hifadhi bora Afrika baada ya mwaka jana 2018 kushinda tuzo hizo kupitia mtandao maarufu wa safari za utalii dunia wa safaribooking.com.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari, washindi katika tuzo hizo za WTA hupigiwa kura na wabobezi katika masuala ya safari na utalii duniani kote.
Wengine walioingia katika kuwania tuzo hizo ni pamoja na Hifadhi za Taifa za Central Kalahari ya nchini Botswana, Hifadhi ya Taifa ya Etosha ya nchini Namibia, Hifadhi ya Taifa ya Bonde la Kidepo Uganda, Hifadhi ya Taifa ya Kruger nchini Afrika kusini na Hifadhi ya Taifa ya Masai Mara ya Kenya.
![]()
Wakazi wa hifadhi hipi? Hifadhini wanaishi wanyama... Weka swali lako vizuri... Serengeti hakuna makazi ya watu... Ni wanyama pori tuu.Vipi kuhusu Wakazi wa hiyo Hifadhi na Wao wametajwa kuwa katika Maisha bora ya Kiwango gani duniani yaliyotokana na kuwa karibu nayo?
Jipige kifuani alafu sema "mimi ni nyumbu"Kwa hiyo tumsifie jiwe? Maana yule jamaa kwa kupenda sifa za kijinga hajambo
NI KWELI KABISAHabari njema hii, nashauri Tanapa wangetoa video fupi ya serengeti dk 1, kwa lugha ya biashara,wanyama na madhari. Hizo barua rasmi tunasoma kichwa cha habari wachache tu hapa Tz.Ila video amazing itaruka dunia nzima.
Nimeshatembea sna huu mkoa wa mara hasa wilaya ya serengetiVipi kuhusu Wakazi wa hiyo Hifadhi na Wao wametajwa kuwa katika Maisha bora ya Kiwango gani duniani yaliyotokana na kuwa karibu nayo?
Nyumbu rudini nyumbani serengeti kumenoga 😁😁😁
Wanafikiri bado kukame 😁😁 migration ianze sasa kurudi homeaisee itabidi hiyo iwe slogan yao 😁😁
serengeti ni jombo la uchaguzi?CHADEMA watapinga hili
Marwa Ryoba si ndo Mbunge wa Serengeti?serengeti ni jombo la uchaguzi?