Habari za usiku huu wana wa JF,
Nimekuja kuomba ushauri maana nimewaza peke angu bila kupata majibu. Nimejenga kajumba kangu wa style hii ya sasa la bati la kuficha ila sasa kiukweli nakosa usingizi maana si kwa kuvuja huku.
Hivi naweza kuezuwa na kuweka paa la kawaida au ndo imekula kwangu? Msaada please Natanguliza shukurani zangu za dhati.
Nimekuja kuomba ushauri maana nimewaza peke angu bila kupata majibu. Nimejenga kajumba kangu wa style hii ya sasa la bati la kuficha ila sasa kiukweli nakosa usingizi maana si kwa kuvuja huku.
Hivi naweza kuezuwa na kuweka paa la kawaida au ndo imekula kwangu? Msaada please Natanguliza shukurani zangu za dhati.