GreenCity
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 5,876
- 4,608
eti nini? uongo wa Mwenyekiti wa Kamati, uongo wa serikali? Huyu kweli Kidato cha nne, hiyo hoja isngezuia bunge kuahrishwa kwa vile angetakiwa kuleta ushahidi wa uongo wa LUKUVI, PINDI CHANA na AG, jambo ambalo nina uhakika hakuwa na ushahidi huo na yeye ni muongo, MBOWE anataka kutuambia kuwa ni uongo kwamba hawakupeleka majina ya LISSU na BAREGU kwa Rais?
nenda kasome ibara ya 54 na 58 ya kanuni za bunge!